Hakuna mwanamke anaejitambua when it come to money mama..hata sisi wanawake tulionao wanamishahara mikubwa ila hela tunawapa tu..kupenda kunaongezewa na vtu vingi ikiwemo uwezo mwanamke gani anataka aishi na mwanume fukara..
acheni uongo
Unaweza ukapiga kingine kikubwa zaidi..yeye akaona ni kama ametoa buku...anakugegeda halafu anakuacha.anasubiria a new comer.kuna mijitu inahonga si mchezo.kama we msuri ni pm.nikupe pipo zinazohonga bwalaaaaaUkitoa papuchi ujue una interest nae.
Ukipiga kizinga akatoa, humpi nafasi ya kupumua unapiga kingine kikubwa zaidi.
Hivi mmeielewa mada au mimi ndio nimeielewa tofauti!!Unaweza ukapiga kingine kikubwa zaidi..yeye akaona ni kama ametoa buku...anakugegeda halafu anakuacha.anasubiria a new comer.kuna mijitu inahonga si mchezo.kama we msuri ni pm.nikupe pipo zinazohonga bwalaaaaa
Ok mfano vipi umempiga kizinga cha milion moja akakutumia.we ulidhan hatotoa ila katoa.au umepiga kizinga cha ten akakupa 50.hapo inakuwaje espyHivi mmeielewa mada au mimi ndio nimeielewa tofauti!!
Lengo sio kumchuna bali kumkimbiza, ndio maana unapiga kizinga ambacho unajua hatotoa, anabaki tu akijiuliza. 'Hivi huyu ana akili timamu' .
mambo yale ya kusema ooh nna boyfriend sijui am taken yashapitwa na wakati.
siku hizi ukiona a man anakufatafata and humtaki we mpige kizinga tu uone,tena first day tu,mara moja anakoma.
ni wachache sana wataendelea kusumbua after "kizinga".
![]()
Anakutumia ...ila mbelen lazima utatafunwa usipo tafunwa kweli utakuwa unique.na huna shida na pesa.au hauhotaji pesa kuyaendesha maisha...ila wengi hapo kutafunwa rasimaNapiga kingine mpaka achoke mwenyewe.
Hivi bado kuna wanaume maboya kiasi hiko!!!Anakutumia ...ila mbelen lazima utatafunwa usipo tafunwa kweli utakuwa unique.na huna shida na pesa.au hauhotaji pesa kuyaendesha maisha...ila wengi hapo kutafunwa rasima
Hahahaaaa umetisha Mkuu jeroohiyo ni kweli...Kuna demu wangu mwaka jana alinipiga mzinga wa jero ya vocha nikam blacklist, siku ya mwaka mpya kwa kutumia namba nyingine akaniambia amejua kosa lake nkamwambia haina shida aende tu maana kunipiga mzinga mimi ni sawasawa na kutishia usalama wa maisha yangu.
HahaWanawake wa aina yako ujinga kamwe hautawaisha. Akili yako inakutuma bila kujua unakwenda wapi, na nyie ndo mnaokopwa mwisho wa siku mnaishia na michozi tu
Hajui, mwambie huyo. Kuna watu wanahudumia na mwisho wa siku anaishia kuiona kwenye sketi tu. Mie km sikupendi ht unipe hela kiasi gani ila hutakaa uione.
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio njia nzuri na rahisi. Unapiga kizinga kimoja kitakatifu asipokimbilia jf kufungua uzi basi harudi tena.
Say, unapiga kizinga, anatoa, anaendelea kusumbua, what next?Mambo yale ya kusema ooh nina boyfriend sijui am taken yashapitwa na wakati. Siku hizi ukiona a mwanaume anakufatafata and humtaki we mpige kizinga tu uone, tena first day tu, mara moja anakoma ni wachache sana wataendelea kusumbua after "kizinga".
![]()