Recent content by neema mayagila

  1. N

    Ufafanuzi: Bodi ya mikopo haijatoa majina ya waliopata mikopo kwa 2015/2016

    kwan hujui kama elimu bure...full spornsorship hadi ndala na taulo baba
  2. N

    Under NACTE mbona hatuthaminiki

    kama upo dar nendaofisi za nacte
  3. N

    TCU na Kozi za Udakitari

    hiv amekwambia amejaza muhas peke ake...acha kutumia DDA Halafu si ajabu we ni medical attendant wa muhimbili maaana ndio wanajifanyaga wao ni ma professa mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
  4. N

    TCU na Kozi za Udakitari

    jaman ameuliza khaaaa utazani we ndio utatoa post za ajira...nway vilaza kibao wanasoma na ma genius halafu at the end of the time fate speaks.....acha dharau "peace out"
  5. N

    Shilole akutana na Rungu la BASATA, Afungiwa mwaka mmoja kujishughulisha na shughuli za sanaa

    sion mantiki kwa hao basata sina imani nao...hao ndio wanaoendeleza beef za Team naniliuuu...na kwa nini wamfungie mi sijawah sikia hizi siasa za siasa wasanii wangapi wanafanya makosa ukiangalia vizur ile nguo chini ilikua fresh ila kifuan kidizain kama ili bana sana ndio maana nyonyo zikatoka...
  6. N

    Ikulu si pango la majambazi na wezi

    huyu kiongozi hana nia njema nilikua namhurumia na kusikitika kwa sababu alikua chaguo langu ila kwa sasa NOOOO...hakua mzalendo kwa chama chake je atakua mzalendo wa nchi ...kwahiyo yale maneno alivyokua anajinadi alikua anatudanganya eti anakipenda chama na watu wake kwa moyo wote na katu...
  7. N

    Mishahara mipya kada ya afya jamaa wako vizuri sana.

    kiukweli kada ya afya nzur tunajaliwa ila tatizo linakuja location ya hospital na watendaji wa halmashaur ..ila tanzania yetu ni kuwa wavumilivu tu
  8. N

    Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

    haahaaaaa bila kusahau machata kwenye siti..watezeee
  9. N

    Ni kwanini wanawake walio wengi wanapenda kuomba omba hela katika mahusiano?

    mmmmmmh i think wengi wanapenda kuwa na fake characters...kuvaa ka lulu,kuish kamaki wema,kuweka wigi ka la rihanna n.k thats ol
  10. N

    Lori la mafuta lapinduka Kurasini Dar es Salaam

    hahaaa aswaaa safi sana kama kweli ameshuhudia atupie picha atleast ataeleweka ..kwanza inawezekana "amevaa miwani" so hatuamini halafu eti yuko baa
Back
Top Bottom