hiv amekwambia amejaza muhas peke ake...acha kutumia DDA Halafu si ajabu we ni medical attendant wa muhimbili maaana ndio wanajifanyaga wao ni ma professa mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
jaman ameuliza khaaaa utazani we ndio utatoa post za ajira...nway vilaza kibao wanasoma na ma genius halafu at the end of the time fate speaks.....acha dharau "peace out"
sion mantiki kwa hao basata sina imani nao...hao ndio wanaoendeleza beef za Team naniliuuu...na kwa nini wamfungie mi sijawah sikia hizi siasa za siasa wasanii wangapi wanafanya makosa ukiangalia vizur ile nguo chini ilikua fresh ila kifuan kidizain kama ili bana sana ndio maana nyonyo zikatoka...
huyu kiongozi hana nia njema nilikua namhurumia na kusikitika kwa sababu alikua chaguo langu ila kwa sasa NOOOO...hakua mzalendo kwa chama chake je atakua mzalendo wa nchi ...kwahiyo yale maneno alivyokua anajinadi alikua anatudanganya eti anakipenda chama na watu wake kwa moyo wote na katu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.