Under NACTE mbona hatuthaminiki

Under NACTE mbona hatuthaminiki

Bdo hawajafanya selection subiri watakuchagua tu usipate hofu

ImageUploadedByJamiiForums1444664080.980881.jpg jamani mi naona hivyo na hakuna hizo updates/remove, niendelee kusubiri au? 😢😢
 
NACTE nao bwana, yani utadhani application tulifanya bure, wanakera sio siri. Hizo post si mtoe tu!
 
Ata matokeoo tu ya ualimu shule za msingi na sekondari baado nakumbuka watu wanataka wajipange kulipa laki 6 wenyewe hawawazii kabisaa yaani,,,,,
 
Ata matokeoo tu ya ualimu shule za msingi na sekondari baado nakumbuka watu wanataka wajipange kulipa laki 6 wenyewe hawawazii kabisaa yaani,,,,,

Daah kaka ina maana hiyo laki6 ndio ada ya mafunzo kwa mwaka au na ni vyuo vya serikali tuu au hadi private
 
Hapa tunaongelea diploma za ualimu wa shule ya msingi na awali maana ndo nacte wametusahau ila walio selectiwa kwa mda huu kupitia nacte its only undegsaduate umenipata~ boyfriendy;
 
Back
Top Bottom