Ikulu si pango la majambazi na wezi

Ikulu si pango la majambazi na wezi

Kama sio pango la wanyanganyi. Nipeni Maelezo lizone kapata WAP Mali hizo zote kwa mda huu mfupi. Mfumo mmeuweka wenyewe Leo hii mnajikataa.
 
Kama sio pango la wanyanganyi. Nipeni Maelezo lizone kapata WAP Mali hizo zote kwa mda huu mfupi. Mfumo mmeuweka wenyewe Leo hii mnajikataa.
Naona kama vile huna point!!!?. Sisi tunaongelea "Kubenea alishukia bango kuhusu wizi wa EL, sasa hivi anatakakugombea ubunge ndani ya CDM!!? na raisi wenu wa ukawa ndiye fisadi papa!!!?"
 
Tunaanza kwanza na huyu aliyekuwa mtendaji mkuu maana uchunguzi umekamilika. Uchunguzi wa escrow nawenyewe bado unaendelea kama wewe ulihusika panga lazima likukate. Huu wa EL upo tayari atapigwa viboko 12 wakati anaingi jela ya miaka 11 na viboko 12 wakati anatoka.

Unamwacha anayeendelea KUIBA na kuijazia FAMILIA yake MADINI na vitega UCHUMI?Pole mweeeee Kupenda kubaya.Huyu ndiye aliyeua kabisa UCHUMI wa TAIFA maana baada tu ya kuuweka URAIS wake rehani akashare ba Familia na watu wake wa karibu ndipo zilipo kuja ESCROW,MADINI na GAS na mbaya zaidi MADAWA>Ameuza ardhi yetu sababu ya kijana wake.

Huyu ndiye alikuwa anatakiwa kuanza kwanza
 
Huu ni mda wa lunusuru chama. EL kaenda nje ya kabati lazima rungu lianzie kwake. yeye atawataja aliohusika nao kisha uchunguzi utafuata. Unaweza chukua miaka 20 kukamilika wakati yeye EL anakula mvua.

Sisi tunataka kulijenga TAIFA wewe na wenzako endeleeni na Chama chenu cha Majambazi muendelee kututafutia wote waliotuibia anzia na Mkuu wako,afuatie Chenge nk nk
 
Usisahau na kile kivuko cha bagamoyo mwee hii nchi ina maajabu ya firauni.

Unakumbukumbu yaani we acha tu.Wengine atujui hata kama vile vijisenti vyetu vya uzeeni vitakuwepo..................
 
Tangu lini lkulu ajaingia mwizi nchi hii wote wanaingia masikini wanatoka matajiri na mm nikipita magogon sioni frem ya biashara au genge la maembe
 
Annael

Miaka yote hiyo mbona hamjamshitaki mahakamani?Povu jiiiiingi utadhani unaongea la maana.Mmeshaambiwa mwenye ushahidi aende mahakamani,wewe umekaa mbele ya computer unahororojoa badala ya kwenda kumshitaki mahakamani.

Dr Slaa atakuja akwambie maana ya povu hilo unaloliandika hapa, na ninahc watu wengne wanaandika kabla ya kuwaza, we huwezi kuwa hata na akili ya kujiongeza ya kwamba kwa nn MTU ahamie huko baada ya kukataliwa sehem nyingne, kwa nn asingehamia mapema, cha kufanya n kuwaacha mkalipuana wenyewe kwa wenyewe mkianza na Dr Slaa...maana yeye ashasema tangu zaman kuwa hawezi kufanya kazi na fisadi hata kdogo.

Kama sio akili za kutazamia mtu anaezaje kuja kwako hata hajamaliza Siku tatu unamuachia familia yako nzma...mke, watoto, na wajukuu kabisa? Hafadhali ya kuchukua familia ukamuachia House boy au house girl kuliko kumpatia mwizi maana watoto wakilala tu ataanza kuhamisha kila alichokikuta ndani and at last utakuja kuamka wakati nyumba ishakuwa nyeupe....and that's what CDM wanaonesha umma Leo hii....I call it kurambaramba matapishi waliyotapika tena Yale ambayo yameshaanza kuwa na uozo Fulani hivi. Pigeni videdea lakn najua Ikulu si kama mnavofikiria.
 
Last edited by a moderator:
Siku zote hamkuona uhujumu wa uchumi baada ya kuhama... ndo kesiiii wanafiki wa kubwa ..... peopllllllessssss poweerrrŕrrrr
 
Annael

Miaka yote hiyo mbona hamjamshitaki mahakamani?Povu jiiiiingi utadhani unaongea la maana.Mmeshaambiwa mwenye ushahidi aende mahakamani,wewe umekaa mbele ya computer unahororojoa badala ya kwenda kumshitaki mahakamani.


Swali hili waulize Chadema waliomwita Fisadi na kusema wana ushahidi na kumwambia yeye Mteule Wenu aende Mahakamani kama anawapinga. Hivyo jukumu la kushitaki ni lenu na si mwingine.
 
Tutakuwa na Voting baada ya hapo tutakuwa na vetting.
Naona unatoka mapovu kama mtu aliyejaa uji kichwani badala ya ubongo. Kama haya yote mshapanga, iweje Tanzania kuw salaam mikononi mwenu?
 
huyu kiongozi hana nia njema nilikua namhurumia na kusikitika kwa sababu alikua chaguo langu ila kwa sasa NOOOO...hakua mzalendo kwa chama chake je atakua mzalendo wa nchi ...kwahiyo yale maneno alivyokua anajinadi alikua anatudanganya eti anakipenda chama na watu wake kwa moyo wote na katu hawezi kutuacha...khaa inaonesha ni jinsi gani alivyomroho wa madaraka na anafanya juu chini ili aingie ikulu ili apindue nchi amaa alaaah, yeye alikua mbunge tu kakatwa amekasirika etiii mbna kuna viongozi wakubwa walikatwa ila laaa hasha wameonesha uzalendo waoooo.....please no room for you nimekosa imani na wewe na wafadhili wako wa nje..kesho tutasikia umebadilisha uraia ukikosa nafasi huko uliko ...nonsense
NCHI HURU FREEDOM OF SPEECH
 
Kamwe huwezi ukasafisha haja kubwa ikawa safi hata ufanye nini. Kiwango cha kufika mpaka wakuu wa vyama kuhongwa na kuhongeka hii ni hatari sana.

Kuna mambo mengi ambayo tunashindwa kuyadadavua kwa umakini sana na kuyachukulia kiushabiki tu. Eti tukiwa na lengo lakung'oa chama fulani wakati hatujui hatima yetu itakuwa ni nini. Tunasema tumg'oe kwanza huyu halafu baadae tutaona cha kufanya. Ni ujinga uliopita mipaka na kuwafanya watanzania kama hamnazo.

Siasa za namna hii zinalifanya taifa letu lizidi kudidimia. Vyama vina maprofessa, na watu wenye elimu ya hali yajuu kabisa wanashindwa kuleta dira na kuanza kuwa na cheap politics. Kuwahadaa wananchi kwa lengo lao tu. Mtu alishachafuka tangu miaka ya 90 na nyie wenyewe mnalijua kabisa. Lengo lenu ni nini katika nchi hii? kamwe hamfai na hakika mtakaa kusubiri meli stand ya basi.

Sio kwamba hatuoni nyendo zenu, hakika tunaona. Mwizi na jambazi sugu akabidhiwe nchi je atawalipa nini wafadhili wake waliompa pesa na kuweza kuwahonga viongozi wa vyama vya siasa? Huyu lazima analengo baya sana na nchi yetu.

Watanzania tusimame kwa pamoja tuwakatae hawa wezi. Unajijua wewe ni mchafu na umechafuka kwani ni wewe tu unayeweza kuwa kiongozi wa nchi hii? Unalengo gani na Tanzania? Unajinadi wewe ni mtu wa mungu!! wewe wewe wewe jichunguze usiwadangaye wananchi. eti unasema wewe prezidaa mmetoka mbali, aibu sana. Hutakiwi kuwa kiongozi wa tanzania wewe kaa utulie upate penshen yako kwa faida yako na kizazi chako.

Tukutane na wewe 25 october 2015 utauona moto wetu. Isitoshe report ya uchunguzi ipo tayari

Tulieni mpate dawa mbona mnatapata mtaandika mpaka mashaili Safari hii
 
CCM iondoke tu kwa namna yoyote. Walitumia bilioni ngapi katika mradi wa Katiba mpya? Iko wapi hiyo katiba mpya sasa? Naunga mkono kuwa king'oke kwanza ndipo tupange mustakabali wa taifa letu kikiwa kimezikwa! Wanaingia mikataba ya kuuza gesi kwanza halafu ndo wanaleta mswada bungeni fastafasta, na wala hiyo mikataba ya kuuza gesi ni siri na hakuna aijuaye. Kuikumbatia CCM ni kukumbatia laana, balaa, nuksi na mikosi katika taifa.
 
uchunguzi upo tayari na mda wowote tu la mgambo litalia.

Hilo la mgambo na lilie tu(kama lipo kweli), Sisi wananchi mmetufanya kama mandondocha kwa siasa zenu za kilaghai punde mnapofikia wakati kama huu.

Kama Lowasa ni mwizi tutamtumia akamate wezi wenzie. Hata wakati mwingine shetani mkubwa anatumika kumfukuza shetani mdogo. Tumechoka sisi..
 
Tangu lini lkulu ajaingia mwizi nchi hii wote wanaingia masikini wanatoka matajiri na mm nikipita magogon sioni frem ya biashara au genge la maembe

Hawa wanafikiri mwizi ni lazima awe kama kibaka wa Kariakoo
 
Back
Top Bottom