TCU na Kozi za Udakitari

TCU na Kozi za Udakitari

Nimegundua kama na wewe ni kilaza kama yule dogo

kugundua kwako kunanisaidia nini au ndo mwisho wa uwezo wako wa kufikiri unaleta tambo zanin na zinakusaidia nn,,mtu mweoye akili awez kufanya ujinga kama huu inaonekana hujisomi au una mp(mental problems) ngoja tukuache
 
Dogo hakufikilia hilo, bora angeenda huko huko kwa wafanya biashara (kcmc, bugando, etc) asa hadi muhas anajaza dah ,hakuwa serious kabisa, haya mwache aumize kichwa sasa akili imkae kwanza,

jaman ameuliza khaaaa utazani we ndio utatoa post za ajira...nway vilaza kibao wanasoma na ma genius halafu at the end of the time fate speaks.....acha dharau "peace out"
 
Kuna mtu ameuharibu huu uzi wa huyu dogo Buffer, sijui kwanin...!!

Watu wengi waliofaulu kwa kukalili na kuuotea mtihani huwa wako hiv, akija huku kazin mbwembwe tupu..!!

Dogo jaza vyuo ulivyoshauriwa, ukishakuwa selected, utajaribu kufanya transfer chuo utachokipenda, ikishindikana bas usome utakakopata ..!!

Hiyo kazi unapataje bila kufaulu ,tena kufaulu sanaa, acheni kumshauri Dogo ujinga, mwambieni ukweli kuwa Medicine hasa Muhas haihtaji vilaza ,kwa matokeo yake hayo dogo alibugi, narudia tena ,watanzania wengi hatupendi kuambiwa ukweli, a guy he is not suitable and fit kwa chuo kama Muhas
 
Mkuu Kumbuka Pia GPA Kubwa Siyo Tija Waweza Kua Na GPA Kubwa Bt Kiufanisi/utendaji Ukawa Kilaza Na Alie Ingia Na GPA Ndogo Akakuzid Ufanisi Kazin.,,kwenye Fani Ya Udaktari GPA kubwa o ndogo is nothin coz ipo tu ili ukamilishe unachokisoma bt ni muhimu pia..kutibu wagonjwa wengi,kukutana na changamoto nying zinazohusu afya kwa ujumla ndo humfanya mtu awe na ufanisi katika kaz hiyo..Mfano Mzur Ukichunguza Madaktar Weng Walioanzia C.O Wana Ufanisi Mkubwa Zaid Ya Wale Walioingia MD direct

Nimependa sana comment yako,, u have spoken da truth,,,
Fikilia C.O amekuwa kwemy medical practice, then a-upgrade to degree level + internship,, possibility ni kubwa ku-acquire more skills &competence,, coz Clinician ashakutana na ku-manage case tofauti,,,,
By da way, slots zimebaki KIU kwa kozi ya MBBS (medicine) kwa 3rd round, kama ana uwezo aombe KIU, na kama dream yake ni kuwa Dr, unaweza pia kuanzia diploma ya clinical medicine, then badae utaupgrade to degree level,,, au usubiri mwakani,,,
Ushauri ni huo dogo.
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.

So sory but wewe uliyeandika hapa nahisi ndo kilaza tena mpumbavu (samahani)...kama tayari upo chuo au unategemea kwenda nahisi bado hujakua..nani aliyekwambia wasiosoma medicine hawana uwezo?...au wanaosoma medicine ndo wana akili zaidi?...idiot...maisha hayapo ivo and keep in ur mind huyo aliyepata merit yawezekana ana uwezo zaidi yako tena sana...exam results sio kipimo pekee uwezo wa mtu..stop calling wenzio vilaza bhana...mpaka kafika hapo sizan kama unastahili kumuita ivo...UMENIKERA!
 
So sory but wewe uliyeandika hapa nahisi ndo kilaza tena mpumbavu (samahani)...kama tayari upo chuo au unategemea kwenda nahisi bado hujakua..nani aliyekwambia wasiosoma medicine hawana uwezo?...au wanaosoma medicine ndo wana akili zaidi?...idiot...maisha hayapo ivo and keep in ur mind huyo aliyepata merit yawezekana ana uwezo zaidi yako tena sana...exam results sio kipimo pekee uwezo wa mtu..stop calling wenzio vilaza bhana...mpaka kafika hapo sizan kama unastahili kumuita ivo...UMENIKERA!

Well said bro....!!!!
 
Hiyo kazi unapataje bila kufaulu ,tena kufaulu sanaa, acheni kumshauri Dogo ujinga, mwambieni ukweli kuwa Medicine hasa Muhas haihtaji vilaza ,kwa matokeo yake hayo dogo alibugi, narudia tena ,watanzania wengi hatupendi kuambiwa ukweli, a guy he is not suitable and fit kwa chuo kama Muhas

hiv amekwambia amejaza muhas peke ake...acha kutumia DDA Halafu si ajabu we ni medical attendant wa muhimbili maaana ndio wanajifanyaga wao ni ma professa mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
hivi huwezi kusonga mbele bila M.D?

is M.D everything to u mpaka uwape wazazi mzigo mwingine tena?...(incase kama hawana uwezo wa kutosha)...can u try to divert ur mind to other professionals?...anyway kwangu mie nahisi t z better uende C.O kwanza if ur mind cant leave m.d kuliko kwenda hivyo vyuo vyenye gharama kibao...

PCB?..una wigo mpana mdogo wangu..unaingia kila sehem...just think careful and if posible tafta watu wakushaur deeply..my mum once told me 'sometimes we ought to do something we don like not because we don deserve to do wat we like, it is for our beloved ones and it is our fate and destiny.

if u keep fighting 4 wat u like u will end up either hurting ur beloved ones or injuring urself..gudluck young b
 
hivi huwezi kusonga mbele bila M.D?...is M.D everything to u mpaka uwape wazazi mzigo mwingine tena?...(incase kama hawana uwezo wa kutosha)...can u try to divert ur mind to other professionals?...anyway kwangu mie nahisi t z better uende C.O kwanza if ur mind cant leave m.d kuliko kwenda hivyo vyuo vyenye gharama kibao...PCB?..una wigo mpana mdogo wangu..unaingia kila sehem...just think careful and if posible tafta watu wakushaur deeply...my mum once told me 'sometimes we ought to do something we don like not because we don deserve to do wat we like, it is for our beloved ones and it is our fate and destiny...if u keep fight 4 wat u like u will end up either hurting ur beloved ones or injuring urself...gudluck young b

Ulikuwa wapi Kumpa ushauri mzuri hivyo mkuu
 
hiv amekwambia amejaza muhas peke ake...acha kutumia DDA Halafu si ajabu we ni medical attendant wa muhimbili maaana ndio wanajifanyaga wao ni ma professa mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Ulijuaje mkuu, nikweli muhimbili sio rahisi ndomana vilaza hatuwapokei
 
WEWE
HATA KAMA UNA AKILI,
LAKINI HUJAEliMIKA BADO...SIJAPENDA KABISA UNAVYOMUITA MWENZIO KILAZA.
 
Nimependa sana comment yako,, u have spoken da truth,,,
Fikilia C.O amekuwa kwemy medical practice, then a-upgrade to degree level + internship,, possibility ni kubwa ku-acquire more skills &competence,, coz Clinician ashakutana na ku-manage case tofauti,,,,
By da way, slots zimebaki KIU kwa kozi ya MBBS (medicine) kwa 3rd round, kama ana uwezo aombe KIU, na kama dream yake ni kuwa Dr, unaweza pia kuanzia diploma ya clinical medicine, then badae utaupgrade to degree level,,, au usubiri mwakani,,,
Ushauri ni huo dogo.

Yer Bro Dogo Ina Bidi Atambue Kua Katka Maisha Ukiwa Na Nia/malengo Ya Kufany Ktu Fulan Hakuna Njia Moja Tu Ya Kutokea.njia Fulan Ikigoma Huna Budi Kufkiria Plan B Na Cyo Kupoteza Muda Coz At The End Waweza Kuangukia Pabaya..Two Pple Of Th Same Interests May Path Thru Diffrent Ways From Th Origin Towards A Certain Destination En At End Wanakutana Palepale Kla Mmoja Alipopakusudia..So Bro Try To Thnk For Plan B..Kapge Tu Dploma Coz Istoshe Ni Course Ya Afya
 
hivi huwezi kusonga mbele bila M.D?...is M.D everything to u mpaka uwape wazazi mzigo mwingine tena?...(incase kama hawana uwezo wa kutosha)...can u try to divert ur mind to other professionals?...anyway kwangu mie nahisi t z better uende C.O kwanza if ur mind cant leave m.d kuliko kwenda hivyo vyuo vyenye gharama kibao...PCB?..una wigo mpana mdogo wangu..unaingia kila sehem...just think careful and if posible tafta watu wakushaur deeply...my mum once told me 'sometimes we ought to do something we don like not because we don deserve to do wat we like, it is for our beloved ones and it is our fate and destiny...if u keep fight 4 wat u like u will end up either hurting ur beloved ones or injuring urself...gudluck young b

Nashukuru kaka umetushauri wengi
 
Ila pia maisha siyo udaktari tuh....kuna kozi nyingine za afya...kama ufamasia, ukunga na watu wa maabara..tusikariri kuwa maisha ni udaktari tuh.
 
Back
Top Bottom