Kama upo kwenye mawese kuna kitu kinaitwa kambili/ kandili kama sijakosea
Wanachemshaa mawese hadi yanabaki mafutaa meupee.
Nasikia ukichemsha 5ltr ya wese unapata 4ltr ya hayo mafuta meupe na saafi
Sasa hao wa three na four waendee waapi jamanii.
Hakuna shida kama wanaenda vyuo vya uhakika.
Lakini pia wizara ingetoa mbadala ambaye hana D mbili na point 4 afanye niniii. Waandae tuu policy nzuri kusaidiaa elimu yetuu.
Inasemekana wanaume huchagua wanawake wanaofanana na mama zao kwa sura au tabia. Na wanandoa nyingi ambao hawajafanana ndoa zao huwa hazidumu ila wale wanaofananaa hudumuu hadi kifoo watapata misukosukoo ila mwisho wa siku watakuwa pamoja.
Mabehewa hayo hayatoshii ile njia ina watu wengi jamani waongeze ziwe behewa 20+ abiria wa ubungo pia watapanda hiyo treni ili washuke k.koo wapande magari ya mwendo kasi.
Na ile njia ya tazara pia waongeze mabehewa maaana kuna abiria wengi njia ile.
hipo
BUGURUNI- PUGU ; NDO INAKOISHIA ,
ENEO LA MBELE YA TAZARA ILE FACE IMEJAA NYASI; TUTAUMWA NA NYOKA
Buguruniiiiiiiiii inafanya nini TAZARA
Mbona tren ipo jaman express ijumaa inaenda Zambia
Jmanne ordinary linapita hapa mwakanga station.
Hiyo depot si ni ya empty containers nahisi kama...
Sawa mkuu na watoto wako wasifike chuo watakuwa makahaba. NB ukahaba ni hulka za mtu na tabia zake, bila kusahau ukahaba hafanyi na mbwa bali na binadamu aitwaye mwanaume.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.