Ni pale tuu unapojikutaa jioni unawaza saana kuhusu keshoo itakwendaje. Nikikumbuka hako kamsemo napunguza kupanic na maishaa.hahahahaaaaaaa, but this ain't Australia
Ni pale tuu unapojikutaa jioni unawaza saana kuhusu keshoo itakwendaje. Nikikumbuka hako kamsemo napunguza kupanic na maishaa.hahahahaaaaaaa, but this ain't Australia
maana yake kuwa kila mtu kuna kitu fulani anakiwezaJust because there is snow on the roof doesn't mean there is no fire inside!
Hii imenisaidia kumuheshimu kila mtu!
Huu ni mtego.Nothing is either good or bad.. but thinking makes it so
Mtego aje hapo mkuu?Huu ni mtego.
Yeah usikutane na mtu ukamdharau labda kwasababu ya muonekano wake au kwasababu ya kimo nakadhalika kuna wakati watu hawa wanaweza kuwa na vitu vya kukushangaza ingawa si watu wa mbwembwe na kujionyesha mbele za watumaana yake kuwa kila mtu kuna kitu fulani anakiweza
Which one bibi uetu mpendwaaaa?That's a quote which changed so many people's lives
Kuna wakati hata mimi huwa natamani tu kama nisingesoma!Education ruined my life.