Brain challenge

Brain challenge

apple ni 7
zabibu ni 12
ndizi tatu ni 6, hivyo ndizi moja ni 2
hapo jibu litakua
7+12+2=21

Good observation.
Swali langu ni kwamba umejuaje kama hizo ndizi zinafanana urefu na uzito mpaka zikagawanywa kwa tatu kupata thamani ya ndizi moja.......?
 
28 - hapa kinacho tumika ni logic zaidi, kusema hatuwezi kuipa ndizi moja thamani ya namba mbili kwa kuwa zina saizi tofauti sioni mantiki yake!! Ni kweli vile vile apples za mwisho ni mbili sio moja, kwa wazo yangu mtego ulikuwa kwenye apples.
 
Good observation.
Swali langu ni kwamba umejuaje kama hizo ndizi zinafanana urefu na uzito mpaka zikagawanywa kwa tatu kupata thamani ya ndizi moja.......?
HAPO NI KUFANYA ASSUMPTION LA SIVYO SWALI LITAKUA HALI SOLVIKI
 
Jibu ni ishirini na saba. Ndizi moja ni sawa na 2(juu zipo tatu zenye thamani ya 6), zabibu moja ni sawa na 1 na hapo chini zipo 11(sio 12 kama juu), na nyanya ni sawa na 7 ila zipo mbili. jumla ni 27
 
Apple moja=7
Ndizi 3=6, Ndiz Moja =2
Mkungu Wa Zabibu 12 =12
, zabibu moja =1
Hivyo inakuwa
apple 2+zabibu 11 +ndizi 1=
14+11+2=27
 
Jibu ni ishirini. Ndizi moja ni sawa na 2(juu zipo tatu zenye thamani ya 6), zabibu moja ni sawa na 1 na hapo chini zipo 11(sio 12 kama juu), na nyanya ni sawa na 7, jumla ni 20

angalia vizur nyanya zipo 2 apo chin
 
apple ni 7
zabibu ni 12
ndizi tatu ni 6, hivyo ndizi moja ni 2
hapo jibu litakua

equation ina zabibu 11 na sio 12
apple 2 ambapo jumla ni 14
na ndizi moja ambayo ni 2

14+11+2=27
jibu ni 27
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom