KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,143
- 32,877
Mambo dada....Mimi ni dada
Mambo dada....Mimi ni dada
Nilitolewa baruti na mlinzi pale bonite bottlers pale Moshi nikiwa natafuta sehemu ya kufanyia practical training.Hivi visa vimenikuta maranyingi sana, lani mlinzi anataka umpe bahasha afungue aisome kwanza ili adhibitishe kama unaomba kazi au mambo mengine.
1. Leo nimetembelea pale TBC- tazara huu mkasa umenikuta, nilienda kuomba internship ya mambo ya IT.
Mlinzi alinitisha pia akasema watu wa IT ni wezi kwahiyo mm naweza iba vitu mule ndani.
2. Issue kama hii ilishatokea Bandarini, pia mlinzi hakutaka niingie ndani hadi nilipozuga naongea na meneja kwenye simu ndo akani ruhusu
Naombeni swaga za kupambana na hawa watu jamani
Umeonaaeee...Wanakuaga na maswali hao... na kujifanya wanaijua org mwanzo mwisho
Hivi visa vimenikuta maranyingi sana, lani mlinzi anataka umpe bahasha afungue aisome kwanza ili adhibitishe kama unaomba kazi au mambo mengine.
1. Leo nimetembelea pale TBC- tazara huu mkasa umenikuta, nilienda kuomba internship ya mambo ya IT.
Mlinzi alinitisha pia akasema watu wa IT ni wezi kwahiyo mm naweza iba vitu mule ndani.
2. Issue kama hii ilishatokea Bandarini, pia mlinzi hakutaka niingie ndani hadi nilipozuga naongea na meneja kwenye simu ndo akani ruhusu
Naombeni swaga za kupambana na hawa watu jamani
Basi, pole kwa changamoto hizo.Sio presentation broo, lani anataka kusoma umeandika nn kwenye bahasha, au anakuambia ajaachiwa apointment na boss wake.
Wale walinzi wa nini wewe?Hivi visa vimenikuta maranyingi sana, lani mlinzi anataka umpe bahasha afungue aisome kwanza ili adhibitishe kama unaomba kazi au mambo mengine.
1. Leo nimetembelea pale TBC- tazara huu mkasa umenikuta, nilienda kuomba internship ya mambo ya IT.
Mlinzi alinitisha pia akasema watu wa IT ni wezi kwahiyo mm naweza iba vitu mule ndani.
2. Issue kama hii ilishatokea Bandarini, pia mlinzi hakutaka niingie ndani hadi nilipozuga naongea na meneja kwenye simu ndo akani ruhusu
Naombeni swaga za kupambana na hawa watu jamani
Sawa ni PMMimi ni dada
Ahsante sanaPoleni sana
hao dawa yao nao unawatemea ung'eng'e mwanzo mwisho.kipindi flan cna mchongo wowote kitaa nikawa nasambaza cv yangu kwenye makampuni,nikapeleka kwenye kampun flan ya wamarekan,dada wa mapokez akawa ananletea ucku na kiswa english yake ya form 4,basi me nikautumia huo udhaifu wake nikawa naongea kiingereza chenye lafudhi ya kimarekani afu natoa misamiati migumu hatari,mwishowe nikamuona mdada kawa mpole akaniambia pass this way u wil see door of boss.nikacheka tu..Ila kweli na wadada wa reception wana vyodo balaa, kwanza wanajifanya wanaongea kiswahili lafudhi ya English vile au sometime havijui kiswahili vizuri.