Jamani hebu ni, waktukumbushane, muda wa kuelekea uchaguzi mkuu uliyopita hapa nchinikwetu. kuna viongozi wawili wa kisiasa walianguka nyakati tofauti. mmoja nasikia papo kwa papo na akapata nafuu akaendelea shughuli, na wa pili alianguka akaumia mkono, hali ambayo ilimlazimu autengenezee...