Profesa mwandosya akana kufa....

Profesa mwandosya akana kufa....

hatutaki tena rais mgonjwa kama Jk au yule wa nigeria aliyefariki baada ya kukaa madarakani muda mfupi
 
Jamani hebu ni, waktukumbushane, muda wa kuelekea uchaguzi mkuu uliyopita hapa nchinikwetu. kuna viongozi wawili wa kisiasa walianguka nyakati tofauti. mmoja nasikia papo kwa papo na akapata nafuu akaendelea shughuli, na wa pili alianguka akaumia mkono, hali ambayo ilimlazimu autengenezee mbeleko kwa muda, hivi wawili hawa kama hawakushauriwa waachie madaraka waliyoshika vipi Mwandosya iwe hivyo?
 
H
Mr Rocky your just piece of shit,sheria za ajira na utaratibu wa kiserikali he deserve to be taken care off,kama mtunza ofisi anatibiwa na mwajiri wake seuse waziri!

Thank you for being just a piece of shit
So hata kama akikaaa kitandani miaka mitano nbado ataendelea kulipwa tuu kwa sababu daktari hajathibitisha kuwa hawezi kumudu majukumu
Lini ukomo wa hilo unaisha
Maana kama mwajiri anaruhusiwa kukuachisha kazi anapoona kuwa huwezi mudu majukumu yako je na waziri anakoma lini kuambiwa kuwa sasa hebu kabidhi majukumu
Simuombei awe mgonjwa ila tunafikia ukomo wapi wa yule mgonjwa kujionmdoa katika majukumu ya kitaifa anapoona kuwa afya yake inatetereka
t
 
Hapo unapotoka, unataka mtu akiugua afukuzwe kazi?, asilipwe mshahara?, mbona hata hao ambao hawaumwi hawafanyi kazi wanashinda hewani kama popo na wanalipwa?,

Ku-Stepdown ni sawa kama atashauriwa na madaktari kuwa hawezi kuendelea na majukumu kwa ufanisi, kuna utaratibu wake!,

Tunawajali wagonjwa, ndio maana hata hao wanaoanguka majukwaani bado tunawapa muda wa kutumika! (kwa maslahi ya nani.. usiniulize)

So tunmasema hata kama ni miaka minne hata kama hajashauriwa na daktari wake kuwa jamaa ni incapacitated bado tuu aendelee kula mshahara. Sheria zinasemaje kuhusi mtu mgonjwa anayeshindwa kutekeleza majukumu yake
Maana kwa wafanyakazi wa kawaida ni siku sitini na mshahara wote na siku sitini na mshahara nusu na ikizidi hapo hata mwajiri anaweza kukuondoa kazini
Sasa yeye kwa kipindi chote alichokaa hospital je tuendelee kumlipa kwa kuwa daktari wake hajasema kuwa jamaa hajashindwa so hata akikaa miaka miwli mradi doc hajasema bado aendelee tuu
 
nchi hii inaendeshwa katika missingi ya utawala bora inayofuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma na sio kufuata akili zako wewe ambazo hazikutoshi. nenda kasome standing order utaelewa vizuri. kila mtumishi wa umma ana haki zake, MW Atatakiwa kujiuzulu under medical background pale tu madaktari watakapothibitisha kuwa ugonjwa aliyonao hawezi kupona au hata kama akipona athari za ugonjwa zitamfanya ashindwe kuyamuda majukumu yake!
I know kuna standing order na sheria na kanuni zinazotawala utumishi wa umma
Na hakuna report ya daktari inayosema kuwa jamaa ameshindwa kumudu majukumu kutokana na afya yake. So ndo tuseme hata kama atakaa hospital for three years na daktari hajasema kuwa jamaa ameshindwa majukumu bado ataendelea kulindwa na hizo standing order na kanuni kuendelea kula mshahara na marupurupu kwa kuwa tuu hakuna hiyo report
 
kwa hiyo wewe unamthamini mtu akiwa mzima,akipata matatizo hususan ya afya ndo hakufai tena??acha izo si vizuri.[/QUOTE
Mkuu tunaangalia sheria zionasemaje na kanuni za utumishi. Wala sio kwamba tunawathamini walio wazima tuu. Hata ofcn kwako kuna muda maalum wa kuumwa. Ukipitiliza hata mwajiri ana ruhusa kusema sasa huyu hapana. Bora aondoke awapishe wenzake wenye nguvu
 
Nimefuatilia MAHOJIANO LIVE RADIO 1/ITV NA MWANDOSYA mda si mrefu walikuwa wanaongea nae (Profesa Mark Mwandosya) kwa njia ya Simu anasema anaendelea vizuri tofauti na hali aliyokuwa nayo wakati anapelekwa huko India na bado yupo Hospitali....anaamini atarudi nyumbani TZ mda si mrefu...waliozusha leo kuwa amekufa si kweli....baso yupo Hospitali kutokana na ushauri wa Madkari lakini hali yake si mbaya kwa sasa..

hivi utumishi wa umma unakoma baada ya kulazwa miaka mingapi...................................nifahamuvyo baadaya miezi sita yabidi upewe likizo ya ugonjwa au ujulishwe kuwa sasa ......it is over kajigharimie mwenyewe..............

sasa huyu Mwandosya............................tutamgharimia hadi lini.....................kwa sababu anachoumwa hakina tiba saa imekaaje hii.......
 
Na wanaopigia debe la kuzusha kifo chake ni wale wale ambao wanashukiwa kumfanyia maovu waliyomfanyia na sasa wamegeuza makali kwa Mwakyembe. Hii yote ni kutafuta madaraka! Aibu kubwa na ghadhabu ya Mungu inawasubiri majahili hao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom