Recent content by ndorobo mkuu

  1. N

    Msaada: Maana nyingine ya TBT

    Sasa mbona bado ni utata!? Wengine wasema 'THROW', wengine 'TROW', wengine 'THRAW', wengine 'THRUE'!!?? Tushike lipi sasa:confused::confused::confused:
  2. N

    Huu ndio ugaidi sasa sio zile muvi za mapangoni!

    Nashukuru sana msemaji, maana nilikua na wazo kama hili nilitaka kusema ila umepita mulemule.
  3. N

    Bonge la live show: Usikose Dar Live leo jioni

    We unasema atawafundisha madogo kama DOMO live band una uhakika!?? DOMO alipokua na show za burundi na na rwanda alipiga LIVE tena in stadium na show zilifana.. So nani aliemfundisha mwenzie hapo!?:confused:
  4. N

    Vengu wa Original Komedi amefariki dunia nchini India (Si habari ya Kweli)

    Nimepata hizi habari.. Mwenye undani zaidi wa habari hii atujuze tafadhali ============== JamiiForums: Habari hii SI KWELI, Seki kakanusha kupitia Clouds FM.
  5. N

    Mahaba ya Refa wa Chelsea Vs PSG

    Sasa mtu unamuona kishalala upande wa kushoto na mpira unaelekea kulia.. Kinachofata ni nini jamani!?? Puliza kabisa ili wakiokota waeke kati tuuu no kupoteza muda:D:D
  6. N

    Mchinjaji wa ISIS, Mohammed Emwazi aliwahi kuja Tanzania na kushtukiwa na Vyombo vya Usalama

    Asante sana. Nimekuelewa sana... Nadhan tofaut ya 'hao' wanaua kwa bunduki, makombora n.k lakini 'wale' wanachinja!! Bt wako in the same truck
  7. N

    Kunani kazi za zoomtanzania?

    Duuuuuuh pole sanaa aseee
  8. N

    Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

    Sasa mtu mwenye panga na kisu akichukua bunduki, risasi na mabomu kutoka kituoni DOES IT MAKE SENSE eventhough unasema kisu na panga ni silahs!??:confused:
  9. N

    Natafuta nyimbo ya 'sea' ya papii kocha

    Mi hua naitafuta ile ya 'Fanta' bila mafanikio
  10. N

    Tahadhari kwa wapenzi wa supu ya pweza

    Mmmmmmmmmmh!!:confused:
  11. N

    Hongera sana JOTI

    Ua very right!!
  12. N

    Udhalilishaji vyuo vikuu

    Nimesikitishwa saana,. Nimehuzunishwa sana na michango ya wengi jinsi mnavotoa shutuma nyingi kwetu sisi wakufunzi wa hivi vyuo vikuu. Nilijiunga na chuo kimoja mjini morogoro lakini wadada walikua wanahangaika sana kuja kujilengesha kwa kua nilikua nafata haki na misingi ya ufundishaji...
  13. N

    Jeshi la polisi kutoa zawadi ya milioni 20

    Duuuh!! Kumbe ndo hua iko hivo!? Sasa si wanapoteza imani kwa wananchi wasamaria sasa!!?
Back
Top Bottom