Sasa mbona bado ni utata!?
Wengine wasema 'THROW', wengine 'TROW', wengine 'THRAW', wengine 'THRUE'!!??
Tushike lipi sasa:confused::confused::confused:
We unasema atawafundisha madogo kama DOMO live band una uhakika!??
DOMO alipokua na show za burundi na na rwanda alipiga LIVE tena in stadium na show zilifana..
So nani aliemfundisha mwenzie hapo!?:confused:
Nimepata hizi habari..
Mwenye undani zaidi wa habari hii atujuze tafadhali
==============
JamiiForums: Habari hii SI KWELI, Seki kakanusha kupitia Clouds FM.
Sasa mtu unamuona kishalala upande wa kushoto na mpira unaelekea kulia..
Kinachofata ni nini jamani!??
Puliza kabisa ili wakiokota waeke kati tuuu no kupoteza muda:D:D
Sasa mtu mwenye panga na kisu akichukua bunduki, risasi na mabomu kutoka kituoni DOES IT MAKE SENSE eventhough unasema kisu na panga ni silahs!??:confused:
Nimesikitishwa saana,.
Nimehuzunishwa sana na michango ya wengi jinsi mnavotoa shutuma nyingi kwetu sisi wakufunzi wa hivi vyuo vikuu.
Nilijiunga na chuo kimoja mjini morogoro lakini wadada walikua wanahangaika sana kuja kujilengesha kwa kua nilikua nafata haki na misingi ya ufundishaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.