Bonge la live show: Usikose Dar Live leo jioni

Bonge la live show: Usikose Dar Live leo jioni

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Naweza kusema haya ni mapinduzi ya kweli katika bongo fleva big up KIBA. kwa hili la kupi show pale DAR LIVE kwa LIVE BAND kweli umetisha kaka huu ni mfuniko kwa wasanii wote tunaowajua akiwemo DIAMOND. endelea kuwafundisha hawa madogo zako mpaka. tuelewane tu.
 
Hii ni habari njema, we muhudumu hebu ongeza bapa 1 kwa ajili ya hii live band ya king kiba.
 
Nyinyi endeleeni kumtia ujinga tu!..hizo bendi wamepiga kina gurumo miaka nenda miaka rudi mwisho wa siku wakawapigia magoti wajukuu zao kina diomondi ili wampe zawadi ya gari..yeye aanze kujifunza kupiga bendi leo mwenzie domo anaenda kuingiza sauti tu studio at the end domo anaenda BET yeye atabaki hapo hapo dar live mbagala. Yaani amekosa kbs strategy? Nyie wapuuzi mnampotosha huyu jamaa mpaka mnakera!
 
Nyinyi endeleeni kumtia ujinga tu!..hizo bendi wamepiga kina gurumo miaka nenda miaka rudi mwisho wa siku wakawapigia magoti wajukuu zao kina diomondi ili wampe zawadi ya gari..yeye aanze kujifunza kupiga bendi leo mwenzie domo anaenda kuingiza sauti tu studio at the end domo anaenda BET yeye atabaki hapo hapo dar live mbagala. Yaani amekosa kbs strategy? Nyie wapuuzi mnampotosha huyu jamaa mpaka mnakera!
Hata ww mpuuzi coz umeongea upuuzi aliyekwambia mzee ngurumo alimpigia magoti dom kwa ajiri ampe zawadi ya gari nani?
 
habar zenu wakuu sipo tim yyte ila nivizuri kupiga live band na show yke itakuwa nzuri!! lakn sasa jaribu kupita tht anapofanyia mazoez kwa sasa uone anavyoimba nitofaut kbsa na nyimbo yenyewe minaona iyo siku watu dar live watalala tu nakunauwezekano mkubwa jamaa akaailisha live band kwan anavyodai wapigaji band wanamuangusha ila kiba mazoezi ana kabsa msanii gan mazoezi ya live band paka show??? najua wengi watabisha coz hawajui mziki
 
Nyinyi endeleeni kumtia ujinga tu!..hizo bendi wamepiga kina gurumo miaka nenda miaka rudi mwisho wa siku wakawapigia magoti wajukuu zao kina diomondi ili wampe zawadi ya gari..yeye aanze kujifunza kupiga bendi leo mwenzie domo anaenda kuingiza sauti tu studio at the end domo anaenda BET yeye atabaki hapo hapo dar live mbagala. Yaani amekosa kbs strategy? Nyie wapuuzi mnampotosha huyu jamaa mpaka mnakera!

Mkuu umekosa kabisa mfano mpaka umtaje marehemu mzee Gurumo?una uhakika mzee wa watu alimuomba gari Nasseb?sio lazima kuonyesha mihemko kwenye kila jambo kumbuka kuna watu wanaguswa moja kwa moja na yanayoongelewa umu ndani.
 
Back
Top Bottom