kuku wa kienyeji
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 494
- 151
Mi nilishaitwa mara nying ktk interview kupitia zoom
Una mda gani na zoom ??
Mi nilishaitwa mara nying ktk interview kupitia zoom
Nimewahi kuitwa interview, na pia niliwahi kupigiwa na wahuni/matapeli wa kutaka mchango wa kunipitisha interview
Nimefanya online application nyingi sana kupitia ZOOM, hakuna hata moja niliowahi kuitwa hata kwenye Interview, je kuna aliewahi sembuse kuajiriwa kwa kuptia online application za ZOOM?
Hivi zoom Tz si ni ubao tu wa matangazo au wanajishughulisha pia na kufanyia watu usahili kwa niaba ya taasisi zitoazo ajira?
Kama wao ni bango tu la matangazo ya ajira basi sioni sababu ya watu kulalama...
Nimefanya online application nyingi sana kupitia ZOOM, hakuna hata moja niliowahi kuitwa hata kwenye Interview, je kuna aliewahi sembuse kuajiriwa kwa kuptia online application za ZOOM?