Kwanini Rav4 huota tege?

Kwanini Rav4 huota tege?

Hiyo hali inaweza kutokea magari yote ikiwa utakuwa huna kawaida ya kukagua gari yako. Kumbuka kadri utumiavyo gari yako kwenye barabara zenye matuta au njia zenye mashimo wheel allignment nayo inabidi ifanyike mara kwa mara tofauti na yule anayetumia barabara ya lami pekee.
 
Hiyo kitu inaniuzi sana ndo mana nimezikimbia though kuna fundinkaniambia zinarekebishika..
 
Yanahitaji kufanyiwa wheel alignment mara kwa mara.

Inaweza isisaidie kwenye matege...kwa uelewa wangu hadi ukapime kemba ndo inaondoa matege...ila wajuzi watafafanua zaidi
 
Hata HONDA CRV Nayo iko hivyo hivyo.
Hata bito pia old model ....sema tege lake tofauti na la Rav 4 lenyewe limegeukia kwa ndani

attachment.php
 

Attachments

  • 10703767_10204052738990187_5613550572795886257_n.jpg
    10703767_10204052738990187_5613550572795886257_n.jpg
    92 KB · Views: 963
Tatizo LA rav 4 kuwa na tege Ni bush za nyuma kuharibika zinapoisha zikibadilishwa lazima Alignment ikafanyike kwa computer
 
Ugonjwa wake mkubwa ni mlio wa mkito kuuuu kwa automatic old model rav4

Ule mkito unaisha ni tatizo la bush za nyuma za diff ambapo rear driving shafts zinalink na diff. Ukirekebisha hiyo wala hutosikia tena huo mkito wakati wa transimition (kubadili gear)
 
Back
Top Bottom