Hivi ni sahihi kuendelea kukukashifiana? mfano ndugu "Andate" unanirudisha kule ninapokukataa! kashifa hazitotufikisha mbali, na tusitegemee serikali ituondole kadhia hii, maana imeshindwa mda tu, na kama sijaeleweka vzuri, ninasisitizia malumbano na chuki sio dini zenu zilivyowaelekeza, mi...