CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

Tunataka matendo sio elimu ya makaratasi ambayo necta wanavujisha mitihani alafu inaonekana mtu kafaulu sana wkt anafeli kufanya kazi

Leo hii yamekuwa hayo, elimu inaonekana sio issue coz mhusika ni ......!!!!, Ah! wasomi hao. Jamani hao ndio watu kila mara wanatamba huku na huko kuwa "SISI TUMESOMA", kumbe elimu yenyewe ndio hiiiiiiii??? Lakini sishangai hata mwenyekiti wetu wa chama (CHADEMA) ni DJ wa madisco hapa nchi thus why hata wanachama na wabunge wa chama hicho ni wanamuziki.
 
Hizi taarifa za website ya Bunge zina walakini ?
 
wengine wananiuliza maswali ya kipuuzi kama bado navuta bangi!!!!
 
leo hii yamekuwa hayo, elimu inaonekana sio issue coz mhusika ni ......!!!!, ah! Wasomi hao. Jamani hao ndio watu kila mara wanatamba huku na huko kuwa "sisi tumesoma", kumbe elimu yenyewe ndio hiiiiiiii??? Lakini sishangai hata mwenyekiti wetu wa chama (chadema) ni dj wa madisco hapa nchi thus why hata wanachama na wabunge wa chama hicho ni wanamuziki.


tofautisha elimu ya: Darasani,
wazazi (kufunzwa na wazazi)
ulimwengu (kufunzwa na ulimwengu)
Uchawi (elimu ya uchawi - majini etc./miti shamba

ZOTE NI ELIMU - ILA ELIMU YA DARASANI PEKE YAKE HAISAIDII .............. INAFANYA KAZI KUTOKANA NA MSOMI MWENYEWE ALIVYO - TABIA, MWENENDO NA UWEZO WAKE. PIA JINSI ALIVYOPANGIWA NA MUNGU - MUNGU HAPANGI KAMA WANADAMU WANAVYOPANGA ..........................

HIVYO HATA KAMA MTU HAJAENDA DARASANI ---- BADO ANAWEZA AKAWA NA KIPAJI CHA KUPAMBANUA MAMBO NA AKAKUBALIKA NA JAMII NA AKAELEWEKA

MHESHIMIWA SUGU - SAWA HANA PHD - LAKINI ELIMU ALIYO NAYO INATOSHA NA AMEKUBALIKA:attention:
 
Amesoma O-level miaka miwili (2), na amewahi fanya kazi kama 'celebrity'!

Soma vizuri hiyo CV, si kwamba amesoma O'Leval miaka miwili,alisoma O level katika shule mbili, ya kwanza alisoma miaka miwili akahamia sabasaba alipomalizia miaka miwili mingine
 
Cv hii haijakamilika na imeandikwa kikoloni. Wabongo wengi hatujui kuandika CV. Sugu ameandika kitabu mbona sehemu ya maandiko aka publication hamna. Sugu kaimba nyimbo nzito na ndiyo mmoja ya waanzilishi wa mziki wa kizazi kipya hayo kwenye CV hatuyaoni. Sugu ni zaidi ya hii CV jamani tumtendee haki.
 
Jamani pamoja na yote sugu anafanya kazi, na anaonyesha jinsi anavyojiamini kwenye anachokisimamia, kuna kitu nimekigundua inapofika zamu ya sugu kuongea hata wabunge wenziwe wa pande zote wanakuwa na shauku ya kumsikiliza.
 
"Waweruu" (ndio inavyoitikiwa baada ya kuuliza hapo kwenye red) huyo jamaa alikuwa naye UK kipindi hicho anafanya kazi na "Social Misfit ya Waweru"

Mzazi ulikuwepo Diamond wakati inazinduliwa hii kitu "Mziki na Maisha"??
1998-2010 Security. Kati ya miaka hiyo sidhani kama alikuwa bado anafanya kazi BP, maana alikuwa akiishi uk miaka ya 2001-2004 na pia aliishi marekani hivyo CV yake inaficha ukweli fulani.
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini baada ya kufukuzwa mbeya sec
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini.

sasa utata uko wapi hapo? Wewe ambaye elimu yako haina utata una faida gani kwa taifa?
 
nimefuatilia sana michango ya sugu akiwa bungeni na katika jamii kwa ujumla nimeona kuwa michango mingi ya mbilinyi huwa siyo ya kiwered sana bali huwa ni michango iliyokaa kimzaha na kuchekesha,niliwaza sana lakini nikabaini kuwa kunatatizo la elmu alilonalo ikumbukwe kuwa sugu alifukuzwa mbeya sec kwa utovu wa nidhamu na historia haioneshi kama alisoma shule yoyote hapa nchini.

Mkuu SUGU mbona kawaida yake wewe ndo unamjua leo? Ni kundi lile linalojipatia umaarufu kwa kumpigia magoti mwenyekiti wao MBOWE.
 
kwahiyo tukusaidie nini baada ya maelezo yako hayo?

Kafikisha ujumbe ambao wengine hatukua tunajua mkuu, mbona unaweweseka? ingependeza kama ungekanusha utata wa elimu ya SUGU kwa vielelezo badala ya kuishia kuweweseka.
 
shida kubwa ni hizi sifa za watu kuwa wanasiasa. panahitajika mjadala mkubwa ili wabunge wawe na viwango maalum vya elimu. haitoshi kwa mtu kujua kusoma na kuandika tu. matokeo yake tunapata watu wa design ya akina sugu. hata wanapotoa michango yao bungeni inakosa mvuto na inakposa kuwa na tija
 
Mkuu SUGU mbona kawaida yake wewe ndo umajua leo? Ni kundi lile linalojipatia umaarufu kwa kumpigia magoti mwenyekiti wao MBOWE.

Sugu hana tabia chafu ya kughushi vyeti, tunaanza kupambana na mafisadi wa elimu.kiongozi wa juu kutumia majina tofauti na vyeti ni uhuni.Mulugo must go hana sifa ya kupambana na muadilifu Mr.Sugu
 
Hebu tuambie michango ya Chenge Bungeni aliye soma Harvad, Wabongo tumekalia ana ishu za Vyeti, Nchi kama USA walio ifikisha hapo ilipo hawakuwahi kwenda shule watu kama Thomas Edson, Mchael Dell, wakina BILL hawajaenda shule ila ndo walio ibadili USA, huku tunakomaa na vyeti,

Tanzania tutakuja kubadilika tukiachana na elimu za vyeti
 
Back
Top Bottom