- Thread starter
- #61
Molemo
Mkuu hebu nikuulize ni lini Dr. Slaa alisimama kwenye majukwaa kunadi sera za Chadema? Elimu bure ni moja ya sera za awali ya serikali inayoongozwa na chama makini cha CCM; hiyo sera siyo mpya ni uamuzi tu kurudia utaratibu wa zamani; msipoteze muda na kujinadi na vitu ambavyo hamkuvianzisha tafuteni umaarufu kwenye sera mpya.
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu wangu Chama,
Mbona utata wa uraia wa Katibu mkuu wenu unazungumzwa kila kona ya nchi? Angalieni sana mkuu wangu hili litawaumiza sana.