Toka mdee amechukua jimbo amekuta jimbo hakuna kitu,sasa kawe mji mipya,maji yanapelekwa nenda leo kaone utakuta mabomba yanawekwa pale. Mikocheni mlimani tv road ina lami sasa, na daraja limejengwa mikocheni kupunguza foleni kama unatokea kwa mzee wetu nyerere, hata hivyo mbezi juu sakuveda halima mdee kafanya vikao na wakazi juu ya maji aliambatana na dawasco, mbweni yetu maji yamefika,wazo juu jeshini sasa wana umeme mambo ya mdee wetu,bunju umeme umepelekwa,madarasa mengi yamejengwa under mdee kama vile kunduchi,makongo barabara ya lami imejengwa tayari na mambo mengine mengi. Hata ukimpigia simu kwa matatizo ya jamii anakuja kwani wewe ndugu yetu wa wapi wewe?