Lipumba, mdhamini mtoto aliyekojolea kurani

Lipumba, mdhamini mtoto aliyekojolea kurani

hivi alimnyang'anya halafu akaikojolea au yule mwenzake alimpa aikojolee? kama alimpa ni lazima na yeye akamatwe kwa sababu asingempa asingaliikojolea.Hapa kinachofanyika sio haki,
 
tanzania udini ni UISLAM. SIJASIKIA WAKIRISTO WAKIITWA WADINI TANZANIA HII

Wewe uko nchi gani? Mara ngapi Kikwete na wenzake wamesema? Unataka waseme masikioni mwako?

Kwa nini mtoto aliyefuata Qu'ran hakukamatwa na kushitakiwa? Kwani huyu aliyekojolea aliifuata? Huyu kijana anshitakiwa kuwaridhisha waislam. Mara ngapi waislam wamechoma Biblia na serikali ikabaki kimya? Mara ngapi waislam wamefanya mihadhara ya kukashifu Wakristo na Ukristo na Serikali haichukui hatua? Waislam wanachoma makanisa serikali inasema ni wahuni wamechoma? Hivi waislam ni wahuni?
 
CUF inajifia pamoja na kupigiwa kampeni sana misikitini lakini migawanyiko imesababisha CUF kuwa mfu...Aidha ndoa yao na CCM imeshindilia msumari wa mwisho kwenye Jeneza lao..sasa lipumba anachofanya ni kutafuta cheap popularity na kurudisha chama kwenye misingi na malengo yake...Msikitini.....
 
Sasa huyo Slaa katokea wapi katika mada hii? Nafikiri mada nzuri ni kuwa Prof Lipumba ambaye ameishawahi kugombea uraisi mara nyingi tu, kwa maana kuwa kama angefanikiwa watu wa dini zote wangepata haki sawa mbele zake, amdhamini huyo kijana mtukutu. Lakini sasa mada inahabiriwa kabisa kwa kuingiza upadri wa Slaaa!!!! Naomba tukichangie kwa kuzingatia mada.
 
Sio kweli kwamba vitabu vyote vinakataza hayo unayoyasema. Haya mambo hayawezi kuisha kama utawala wa nchi utaendelea kuyalea. Na ukizingatia kwamba kuanzia utotoni hadi ukubwani dini moja inafundisha kuwapenda na kuwaombea watu wote na nyingine inasisitiza kashfa dhidi ya watu wote wasio wa dini hiyo (kwa mfano soma waraka kwenye post#4)
kazi makini inabidi ifanyike kuondoa haya matatizo.
Ndugu yangu Andate wananchi wa tanzania ni sawa na watoto yatima, husitegemee kwa namna yoyote ile mamlaka iliyoko itashugulikia swala ili , wameshashindwa mengi tu, tena mengine ni madogo kuliko ili, sasa ndio maana nikasisitiza sisi wenyewe tushikamane tuliondoe tatizo ili, halafu kuhusu kwamba dini moja ndio inafundisha amani halafu nyingine inafundisha chuki sio kweli, hapo bado unarudi pale pale nilipopakemea, maana umetoa ukumu kwa kuangalia matendo ya baadhi ya waumini wa dini hiyo, ukweli unabaki pale pale dini zote zinazowafanya mtoe povu, zinasisitiza, amani, upendo, mshikamano, na kama auamini ili fuatilia kwa kusoma vitabu, mimi nafikili tuanze kuangalia source ya kwanini watanzania wamefkia uku na tushirikiane kwa pamoja tulitatue ili, tusitegeme mtu mwingine kuja kutatua tatizo letu, maana sisi ndio litakaokuja kutusumbua, pls tuanzie hapa kuangalia tatizo, na nategemea kuanzisha mada yangu, nitaomba watu wachangie kwa kutafuta suruhu na si kukashifiana maana mimi si muhumini wa kukashifu.
 
hivi alimnyang'anya halafu akaikojolea au yule mwenzake alimpa aikojolee? kama alimpa ni lazima na yeye akamatwe kwa sababu asingempa asingaliikojolea.Hapa kinachofanyika sio haki,
Mwanangu yalikuwa usanii uliochongwa! Kama sivyo mtu aje na picha hata ya shangazi yake au nyumba ya babu yake na shule anayoisoma!
 
Hainiingii akilini kwa mtu mzima,kushupalia jambo lililofanywa na watoto na kwa akili za utoto kwa kutotumia busara.
 
Ili wananchi tusimuone kama lipumba ni mdini, amwekee mdhamana mtoto aliyekojolea kurani...

Hawezi huyo udini unamtafuna............jana anaongea kwa TV eti kesi ya akina Ponda inafaa iende mahakama ya ardhi,mbona hakuwashauri wasiandamane waende mahakama ya ardhi kuidai hiyo haki
 
Li Pumba hili jina mbona limekaa kichina, anyway CUF na Lipumba wake haiwezi kujitenga na uislam hata kidogo. Kwa hiyo kumwekea dhamana yule dogo atakorofishana na waislam wenzie halafu tukumbuke kuwa mwislam hata awe profesa quran anayoiamini bado inamwambia mkristo ni kafir
 
Hivi ni sahihi kuendelea kukukashifiana? mfano ndugu "Andate" unanirudisha kule ninapokukataa! kashifa hazitotufikisha mbali, na tusitegemee serikali ituondole kadhia hii, maana imeshindwa mda tu, na kama sijaeleweka vzuri, ninasisitizia malumbano na chuki sio dini zenu zilivyowaelekeza, mi nimejaribu kusoma dini zote nimeona zimeweka wazi kabisa swala la amani na upendo, na sio kweli kwamba uislam wala ukristo unafundisha watu wachukiane, tatizo watu wamejawa na jazba na kudhalauliana, mi nachukizwa sana na tabia hizi, hakuna aliyembora zaidi ya mwengine mbele ya mungu, wote tupo sawa, na nishaanza kupata picha kwamba wenda tatizo sio dini tena kuna kitu kimejificha ndani yetu kinatutafuna kidogo kidogo.
 
Ili wananchi tusimuone kama lipumba ni mdini, amwekee mdhamana mtoto aliyekojolea kurani...

Kwa kauli na mwenendo wake sidhani kama ni mtu sahihi "kusuluhisha". BTW, Prof. ana watoto wangapi wa kuwazaaa mwenyewe?
 
Kwani padri slaa amekufa jamani.Au ina maana hajui majukumu yake ya kanisa au mchungaji msigwa amsaidie basi.
Ili wananchi tusimuone kama lipumba ni mdini, amwekee mdhamana mtoto aliyekojolea kurani...
 
Hawezi huyo udini unamtafuna............jana anaongea kwa TV eti kesi ya akina Ponda inafaa iende mahakama ya ardhi,mbona hakuwashauri wasiandamane waende mahakama ya ardhi kuidai hiyo haki

Uvamizi, kubomoa majengo, na kuiba cement, na kutoa vitisho ni kosa la jinai
 
Hainiingii akilini kwa mtu mzima,kushupalia jambo lililofanywa na watoto na kwa akili za utoto kwa kutotumia busara.

Mzee hizi ni fujo zilizopangwa na kuratibiwa na waislaamu wenyewe, Nachukia wale wote wanaosema kwamba kuna fujo za udini, ukweli ni kwamba kuna fujo za waislaamu
 
Ili wananchi tusimuone kama lipumba ni mdini, amwekee mdhamana mtoto aliyekojolea kurani...

unataka kusema yule mtoto wa miaka 12 yuo jela kwa kosa hilo? na ni kwa mujibu wa sheria gani ya nchi?
 
Mezakuu,punguza kidogo jazba ya udini.Kiongozi hachaguliwi kwa kufuata dini aliyonayo bali kwa uwezo wa kuongoza alionao.Na kwenye kupiga kura unapambabisha watu tofauti wenye uwezo sawa u kuzidiana kwa kiasi wa kuongoza bila kujali itikadi,ukabila au dini aliyonayo.
Dini ni njia tu ya kumfanya mtu huyu amuogope muumba wake na aitende kazi yake kwa weledi.
Hakuna mkisristu siyo kafir kafir ni mtu asiye na dini, na wakristu kama waislamu wanadini na imani yao.Ukisoma vizuri historia ya uislmau utakuja kuona wale wote mnao wa enzi ni wayahudi ambao mnawachukia kwa kupitiliza.Muangalie Ibrahimu au Abrahamu,Nabii Issa wote ni wayahudi na nina uhakikia hata Mtume Mohamad ni myahudi kulingana na ukoo wake! Acheni UDINI unapumbaza.Tunavitu vingi vya msingi kama watanzania kuvisimamia kama kupiga vita rushwa,ufisadi,magonjwa ,kulipgania elimu bora kwa kila mtoto wa Kitanzania na siyo Bora elimu anayopata Mtanzania.
 
Back
Top Bottom