Nawewe kama unajua mko wengi unachezaje Vila ndom!!!!!!!
Yaan unampenda mwanamke kuliko kujipenda mwenyewee
Haya basi akizaliwa tuma watu wazima wakachungulie kama ni wa kwako
Ukiona ni wako basi jibebishe pelekeza vitu vya muhim mtaelewana tuuu
Sio mnasubir mtoto et akueeeeeee halafu...
Mnasubir wakue ndo wanakuwa watoto wenu
...wanaume jirekebisheni LA sivyo tutaendelea kuwapa imani za dini zetu achilia mbali kina naweza kumwandika endapo baba atakubali kuwa mimba take
Lakn akikataa naanzaje kumwandika kwa mfano
....diamond nampendaga kwa msimamo wake wakuwa Benet na...
Mbona wanawake wanavumilia sana
MNA michepuko wazi wazi kila SK kurud home Usk mwingi nk nk
Sasa we mwanaume huna hata uhakika unaenda kugombana kisa dreva tax
Haaaaaaa wanunulieni magari wake zenu
Mtasababisha mauaji kama yaleeeeeee ya WK iliopita cjui mwanza wapi wapi
.....wanaume...
Ingekuwa mambo ya mila wangefanya lakn sio kuzitupia hela HVO hadharani
Si dhan kama ni wa kwanza kuzikwa na hela
Mi nadhani wakati wanamweka kwenye jeneza wangemwekea huko
Au wakati wanajenga wangeweka huko nani angeona!!!!!!!!!!
Maumivu bado saiv ni mapema sana wanadhan labda atarudi au maisha yataendelea vile alivokuwepo dady wao
Kumbeeeeeee tofaut kabisaa
Acha wakue wakianza kufil gap ndo machungu watayaona
Vitu vyote alivonunua kwa hela ya music avichome moto
Na kama alijipatia mtaji kutokana na music wake basis hzo hela azitupe.....
LA sivyo aamini kuwa ukitubu bas dhambi zooteeee unasamehewa
Lakin ukitaka kuhesabu na kutagakari dhambi ulizowahi fanya lazima ushindwe...
Kama ukimwona MTU Mara nyingi mtandaon or wherever unaumia saanaaa tu hata kama hujawahi kumwona live
Kuna watu tuko nao kwenye magrup mbalimbali hujawahi muona hata SK moja
Lakin akipata tatizo unamhurumia saanaa
Mie niliumiaga sana kifo cha amina chifupa yaan SK hiyo ucngz ulipaaa kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.