ndisi-jujo
Member
- May 7, 2017
- 40
- 37
Nawewe kama unajua mko wengi unachezaje Vila ndom!!!!!!!ndisi-jujo wengine hawakatai bali mtu anauliza swali la msingi tu, "una hakika mimba ni ya kwangu" wewe unakurupuka kudai kama hataki kutunza utatunza mwenyewe. Tatizo kwanza kabla ya mimba kutunga mtu anajua ana washirika wenzie kama watatu na akicheza mama anaweza kuwa na kadi hata tatu za kliniki. Utampaje mtoto wa watu jina la ukoo wenu. kwanza huoni kama unajidhalilisha?
Yaan unampenda mwanamke kuliko kujipenda mwenyewee
Haya basi akizaliwa tuma watu wazima wakachungulie kama ni wa kwako
Ukiona ni wako basi jibebishe pelekeza vitu vya muhim mtaelewana tuuu
Sio mnasubir mtoto et akueeeeeee halafu unajipitisha et Mimi ndo babaako
Mnakeraa mnoooo
Halafu mitoto nayo mingine mijinga inakubali tuuu hadi inajipeleka ......bora hata iwe mazingira ndo yalikuwa tatizo
May be mlipotezana etc