Kwani uliambiwa ni lazima kuwa na mme?By the way ninae mme wangu na hafanyi upuuzi kama wa Mbowe.
Tema mate chini shoga angu, waume zetu Hawa sio wa kuwalia yamini.
Kwani uliambiwa ni lazima kuwa na mme?By the way ninae mme wangu na hafanyi upuuzi kama wa Mbowe.
mmmmmh..nikireport kutoka kwenye taxiiii ni george maratuuu wa itttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttv
Mh, basi nadhani your mate is very unfortunate au umemuweka kibindoni/limbwata limekuwa zezeta maana nakuhisi, making a picture of you, siyo mke mwema! Comment zako zilinitisha! Enjoy your evening!Hahahaha pole for your Info nilivaa shélastique mwaka 2006 na mpaka leo mapenzi moto moto.
Japo kuchapiwa inauma ila sio kiasi cha mpaka kumpiga mgoni wako au mkeo,hapo ndipo kwenye tofauti kati ya mwanaume na wakiume,mwanaume lazna awe na kifua au koromeo la kuhifadhi hasira au siri.Taarifa ambazo sijathibitisha zinasema kuwa mwandishi na ripota maarufu toka kanda ya Ziwa George Maratu amewekwa lockup baada ya kumkata kwa panga dereva taxi mmoja ambaye alimtuhumu kutembea na mkewe. Inasemekana pia ameichakaza taxi aliyokuja nayo dereva huyo kwa mapanga kiasi cha kuiharibu vibaya! Taarifa zaidi zinatonya kuwa kumekuwa na ugomvi kati yake na mkewe huyo kiasi kwamba leo mwanamke alimpigia simu dereva taxi anayetuhumiwa aje kumchukua na kumrudisha kwa wazazi wake ndipo yalipotokea masahibu hayo baada tu ya dereva taxi kufika kwa lengo la kumchukua mwanamke ambaye alisha-pack vyake!
Hata sheria inatambua uchungu wa mwenza, hivyo kumpunguzia adhabu mtenda kwa wivu. Click "Fragrento delicto". Spellings zimenipotea kidogo.Afungwe maisha yake yote au anyongwe kabisa na uwe mfano kwa wanaume wengine wanaopenda kuchukua hatua za kipumbavu ila ya kuwa na subira.
Binadamu hajakamilika, udhaifu ni kitu cha kawaida. Cha msingi ni kujitambua na kuufanyia kazi. Napenda tuepuke mentality kwamba kumpiga mgoni wako ndiyo ujanja.Simaanishi Marato hana kosa, la hasha. Ila kama Marato umemuita dhaifu kwa kitendo chake basi naomba jina la dereva tax aliyejipeleka mwenyewe akijua ni mtuhumiwa mkuu.
Ntakufuta wifi yako akinzingua tufanye yetu...Binadamu hajakamilika, udhaifu ni kitu cha kawaida. Cha msingi ni kujitambua na kuufanyia kazi. Napenda tuepuke mentality kwamba kumpiga mgoni wako ndiyo ujanja.
Mambo ya mapenzi ni magumu sana. Watu wanacheat kwa sababu fulani fulani na wakati mwingine bila sababu ya msingi. Hatupaswi kujihukumu wala kuwahukumu wengine. Cha msingi maisha yanaendelea. Bongo kuna K nyingi sana utafikiri matone ya mvua, kwanini umuumize mtu sababu ya K?
Wewe kwa akili yako unadhani mke sio mpenzi?
Maneno yako yako busara Fulani, lakini wewe nadhani huwajui wanawake wenzio walivyo na dharau wanapohitimisha mapenzi. Atafanya vituko mpaka mwanaume utaprovoke. Kwa busara yako unaweza kumwita hawala yako aje akuchukue kwa mumeo?Binadamu hajakamilika, udhaifu ni kitu cha kawaida. Cha msingi ni kujitambua na kuufanyia kazi. Napenda tuepuke mentality kwamba kumpiga mgoni wako ndiyo ujanja.
Mambo ya mapenzi ni magumu sana. Watu wanacheat kwa sababu fulani fulani na wakati mwingine bila sababu ya msingi. Hatupaswi kujihukumu wala kuwahukumu wengine. Cha msingi maisha yanaendelea. Bongo kuna K nyingi sana utafikiri matone ya mvua, kwanini umuumize mtu sababu ya K?
Mapenzi hayana busara. Kama mwanaume ameamua kumfukuza mke wake, kwanini aumie anapokuja kuchukuliwa na mwanaume mwingine? Huo unapaswa kuwa ushahidi kuwa penzi lenu limekufa.Maneno yako yako busara Fulani, lakini wewe nadhani huwajui wanawake wenzio walivyo na dharau wanapohitimisha mapenzi. Atafanya vituko mpaka mwanaume utaprovoke. Kwa busara yako unaweza kumwita hawala yako aje akuchukue kwa mumeo?
Serious? Si unaachana naye itoshe? Kuumiza au kuua kunasaidia nini?Siwezi kumlaumu George Marato.Na Hata kuuwa angeweza kuuwa kabisa.
Issue ya mahusiano ni ngumu si rahisi kama unavyoichukuliwa.
Tofauti ya mahusiano kati ya MTU na MTU ni jinsi ubongo wako ilivyoyapa uzito na kuyathamini.
Hayanaga Mwalimu..Hayanaga ujuzi haya kila mtu analia kivyake!
nikireport kutoka kwenye taxiiii ni george maratuuu wa itttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttttv