Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Duuh sawa mkuu wamekusikia
Chanzo cha hayo aliyoeleza ni Mahojiano na Mtu aliekuwa anamhoji hakuitisha press conference na kuanza kufunguka tu!
Dini yake yenyewe ni full show off, kipindi cha mfungo kama hiki ni full kujitangaza kuwa kafunga, sijui subiria mwezi uishe, kusugua paji la uso ili sigda itoke aonekane mcha Mungu.facts afanye kimya kimya tu
Anachokiabudu tu chenyewe hakijui leo hii ndo aje mtakatifu huna hata aibuWe kaa hapo kumsengenya mwenzio, wakati mwenzako anafanya toba. Mwisho wa siku wewe dhambi zako huzitaji sijui ni mtakatifu mwenzetu.
una akili sanaVitu vyote alivonunua kwa hela ya music avichome moto
Na kama alijipatia mtaji kutokana na music wake basis hzo hela azitupe.....
LA sivyo aamini kuwa ukitubu bas dhambi zooteeee unasamehewa
Lakin ukitaka kuhesabu na kutagakari dhambi ulizowahi fanya lazima ushindwe...
imbombo ngafu....kwa hiyo kumbe vya kwenda motoni wala havipo?Aimbe tu hakuna pepo wala mbinguni anajichosha tu
Hakuna cha moto wala jehanam ni story tu za kutitishaimbombo ngafu....kwa hiyo kumbe vya kwenda motoni wala havipo?
Mkuu umesoma uzi vizuri? mbona katoa ufafanuzi kwanini jahazi ipo hadi leoAtoe nyumba na gari zote alizozipata kupitia taarabu kwa yatima..nitamuona wa maana...
Mbona jahazi bado iko..si aifunge band
Kwa mujibu wa iman yako, kumbuka hata yeye anakuona hauko sahihi huko ulikoYuko sahihi, ila amekosea njia,YESU KRISTO NDIO NJIA NA UZIMA,
Siyo story kuna moto na pepo, Mwenyezi Mungu akujaalie ulione hili kabla hujafikwa na mautiHakuna cha moto wala jehanam ni story tu za kutitisha
Labda alitubu na kubadilika.Huyu katenda dhambi sana
1:Mchawi na mshirikina jamaa ameloga watu sana
2:Umalaya na uzinzi
Habari ya moto ni vitisho ili mpunguze ubazazi hapa Duniani, haupo na hautakuwepo huko ambako napo hapapo.Siyo story kuna moto na pepo, Mwenyezi Mungu akujaalie ulione hili kabla hujafikwa na mauti