Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,066
- 18,348
Pamoja sana mkuiMimi niko kwenye hii biashara ya kuku wa nyama na kweli vile vyakula vya makampuni bei imekua mbaya sana. Nina formula tatu mpaka saiv ambazo zote nimeanza kuzifanyia majaribio. Nimelipia kuzitengeneza na zinanipa majibu tofauti tofauti. Hii ya mwisho majibu ntayapata mwez July mapema. Naanza kuwalisha weekend hii.
Ikikamilika nitawapatieni hio formula hata kwa kuchangia kidogo.
Ila mpaka sasa hivi mfuko wa dukani ni 70,000 na mimi ninapochanganya natumia 50,000