acheni kushabikia kitu ambacho hakipo katika nafsi yako. jipange vema kwa kazi zako hapo raha ndo itakuja we katika pocket yako no mia halafu unataka ufurahi na nini? tuache uongo pengine hukupiga hata kura cha ajabu unajisikia vibaya.. kwa lipi?
-punguza hofu na pia jiamini kuwa unaweza kufanikisha hilo tendo (waswasi)
-epuka kutumia madawa ya kuongeza nguvu maana yatakuua kabisa
-hakikisha huyo unayekuwa naye ni mkeo kwani kama si mkeo hiyo huchangia saana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.