Recent content by NDIDO

  1. N

    HALOTEL nao waanza kufata nyayo za watangulizi wao

    do! hata hii line yao naona ishakuwa balaa kwa mtindo huu hakuna kitu nao basi chaliiiii kama SMART maana walikuja kwa mbwembwe hivo hivo
  2. N

    Unatokea mkoa gani?

    stone town (Iringa)
  3. N

    Jinsi Gwajima alivyochangia anguko la Lowassa

    ogopa sana mtu anayevaa kofia 2ya dini na siasa ? HUWEZI TUMIKIA MABWANA WAWILI ?
  4. N

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    acheni kushabikia kitu ambacho hakipo katika nafsi yako. jipange vema kwa kazi zako hapo raha ndo itakuja we katika pocket yako no mia halafu unataka ufurahi na nini? tuache uongo pengine hukupiga hata kura cha ajabu unajisikia vibaya.. kwa lipi?
  5. N

    Kuna aina za watu huwezi kuwakosa bank!

    hahahhahaha kweli mkuu nimecheka kkweeeliii
  6. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwalimu, idara shule ya msingi nipo kilwa naomba yeyote kutoka mikoa hii Iringa mbeya morogoro njombe
  7. N

    Je, huu ni upungufu/ukosefu wa nguvu za kiume?

    -punguza hofu na pia jiamini kuwa unaweza kufanikisha hilo tendo (waswasi) -epuka kutumia madawa ya kuongeza nguvu maana yatakuua kabisa -hakikisha huyo unayekuwa naye ni mkeo kwani kama si mkeo hiyo huchangia saana.
  8. N

    Maneno yaliyovuma kipindi cha mwezi wa nane

    hapa kazi tu................JPM
  9. N

    Lazima mjue kutofautisha

    mjinga na mpumbavu
  10. N

    Huyu dada nimfanye nini wadau?

    fanya lililokupeleka hapo mkuu hizo nyodo mwachie apo app kama vp boy.... ahaaaaaa.......jiamini bhanaaa
  11. N

    Malori ruksa kubeba watu kwenye kampeni za CCM

    haaaaaaaa hii kali na bado asante mkuu tumeona
  12. N

    Kituo cha Redio Uhuru Fm kinamilikiwa na nani?

    sisi emu tu bila shaka
Back
Top Bottom