ALOYCE MPANDANA
Senior Member
- Oct 1, 2010
- 172
- 58
Ni ngumu sana kujua Uhuru Kenyatta anamiriki k24 ya Kenya majamaa wapo fair
Radio uhuru ni ya magamba, mkurugenzi ni mikidad mahmoud cjui kama kaacha..hata hivi Ipo radio 5 ya arusha imejitanua dar,moshi lushoto moro dodoma nk..mmiliki nk EL....radio.uhuru kapata mpinzani..itv,azam wanatupa habari zilizo na ukweli.watu wa kigoma tumeni radi ipige vimtambo vya tbc kodi zetu zinatumika vibaya kwa faida ya magamba