Recent content by nderima

  1. N

    Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

    Hahaha kaka wacha woga kaka basi usingelta hilo jambo lako huku kaka
  2. N

    Housegirl ana mvuto zaidi ya mke wangu...

    kaka inaonekanika HG KAKUFANYIA MAMBO KAKA TAYARII MANA SI NDIO ANAKUANDALIA KILA KITU HUYO NA SIYO AJABU KAKA UMESHAMPITIA SS UANATAKA KUHALALISHA KAKA. HUYO NIPE MIYE KAIKA NIKUSAIDIYE MAJUKUMU KAKA MANA KUWA NA WAKE WAWILI NDANI YA NYUMBA MOJA KAKA NA WAKIJUANA KAKA NOMAAAAA KAKA
  3. N

    my x boyfriend ananitaka tena

    mpe nafasi tena ndugu yangu najua atakuwa ameshajijutia sna ndani nafsi yake
  4. N

    Dar: Barabara mitaa ya Posta zafungwa kwa muda, watu wametaharuki

    Inatia huruma kwa kweli kuona tunaingia kwenye umwagaji wa damu pasipokuwa na kiongozi mwenye msimamo na taifa letu. Maisha haya tuataamkumbuka sana BWM kwa kuongoza taifa hili kwa haki na usaawa na kuwa na msimamo wa dhati na taifa hili bali mafisadi hawapendi wajilimbikizia mali na kila uchao...
  5. N

    PICHA: Rais Kikwete katika ziara rasmi Ottawa, Canada

    mmmmmmm hapo sina neno ila unaambiwa mwenye macho haambiwi tazama. na kwa lugha nyingine wanakuambia kusoma hujui hata picha kutazama hujui pia? hiyo ndio tz zaidi uijuavyo.
  6. N

    'Jaji' Mbarouk Salim Mbarouk awekewe pingamizi na Godbless Lema.

    mwana mpotevu hiyo ni haki ya kila mtu na usipokuwa na imani na jaji kwa nn huishi kwa mashska hyo ni haki ya kila mtu kikatiba na kama kweli jaji hana vigezo ya nini kuendelea kusikiliza kesi? hapo ni haki yake kukataa rufaa hata akishindwa arusha ss hatuna tatizo na hilo mbona hata jiwe...
  7. N

    CCM wadhamiria kulinyakua jimbo la Moshi Mjini!

    kikubwa ni kukazana mana unapokose marqa moja hutakiwi kukosea tena.jimo hilo ni kweli wana lilia sna wadau wa magamba ila kikubwa tunalifanyia kazi asante kwa taarifa
  8. N

    CCM wadhamiria kulinyakua jimbo la Moshi Mjini!

    hilo lijnawezekanika kwa kila jambo na ni kweli mkakati huo upo na hujaanza leo wadau kikubwa ni kukaza na kuondokana na ufisadi wa hao magammba.ila ni kweli napo chama kinatakiwa kuwa makini mana mh jafary naye ni mgumu sna kuelewa mambo hvyo kikubwa ni kuwa makinii
  9. N

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro Aachia Ngazi and Soon to Defect to ....

    daaa jamanii hiyo nnn kinatoke kwa cdm tena au ndio nape na mwigulu wamefanikiwa lengo lao la kubomoa ngome ya chadema
  10. N

    CHADEMA sasa ni kama chama cha rufaa Tanzania:

    hakika hakia ya mtu huwa hainyimwi ila inacheleweshwa tu kila lakheri cdm katika mipango yenu ila kumbukeni napo kwenye msafara wa mamba kenge wamo!!!!!!!!!!!!!!!!!
  11. N

    Kimbunga cha M4C chaitikisa CCM Morogoro

    hilo nalo neno cdm
  12. N

    Azania college of management.

    jamani nataka kujua wanatoa course ngapi chuo hich cha azania na ada yake mana mm nataka kujiunga na stashahada ya sheria
Back
Top Bottom