nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Polisi wamefunga barabara ya hapa Posta Mpya na daladala zinageuza hazitumii tena kituo cha kawaida.
Hali inaonekana si shwari, wanajeshi wametanda! Taharuki inazidi kuongezeka kwa raia
PICHA:
[Kwa picha za matukio maeneo mbalimbali fuatilia: Picha: Yaliyojiri Dar na kwingineko leo mchana ]
Kituo cha daladala cha muda kimehamia mbele ya Hidery Plaza:
Hali inaonekana si shwari, wanajeshi wametanda! Taharuki inazidi kuongezeka kwa raia
PICHA:
[Kwa picha za matukio maeneo mbalimbali fuatilia: Picha: Yaliyojiri Dar na kwingineko leo mchana ]
Kituo cha daladala cha muda kimehamia mbele ya Hidery Plaza: