alberaps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,568
- 1,002
Nadhani maoni ya Mleta mada yaheshimiwe, na yawe kama darasa! Ni busara sn kukubali mapungufu pale yanapokuwepo.
Namheshimu sn member @T2015CDM na kwa uzoefu wake na cdm naamini ana substance!
Kama ana ukaribu na vikao vya ndani vya chama km ambavyo mnadai basi aliseme huko pia.
Mkuu PakaJimmy angalia vizuri hiyo ID sidhan kama ni Original. Ni mtu amerecreate a almost similar akijua kabisa atawateka wengi kwa kutumia Iman mliyo nayo kwa T2015CDM lakin huyu ni T.2015.CDM