Ju mong ni nomaa. Unayo series baada ya Ju mong ile ya mtoto wake? Jina nimesahau, the Lands of....! Nimesahau kbsaa.
Mimi nyumbani kwangu wakiona naingia ndani wanaondoa movie zao za bongo sbb sizipendi kbsaaa, hazina mvuto
Siku zote naamini hakuna gari isiyofaa, ttzo letu hatuna mafundi wa uhakika. Kila gari lzm iharibike sbb imeundwa kwa vitu vinavyoisha. Cha msingi ni lazma kuwa na mafundi wa uhakika tu. Hakikisha unaendesha gari unayoipenda sio anayoipenda rafiki yako. Hongera kwa wale wanaoendlea kutoa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.