Ninajifunza java programming! je mliofanikiwa mlisomaje?

Ninajifunza java programming! je mliofanikiwa mlisomaje?

Soma python Java it's more complicated for bigger so if you master python well your programmer but python easy one to learn and common usee
 
Kiukweli ni lugha ambayo niliitamani na pia naipenda sana!! nna hamu nifike mbali hasa katika software development za simu au komputa!! je mdau uliye soma java, ulisomaje ukai master? je nisome vipi ili niwe mzuri kwenye java?

Nijifunze nini cha ziada niweze kuwa compitent software(java) developer?

Tafuta kitabu kinaitwa "HOW TO PROGRAM-JAVA" kina mifano mingi ya code so una master faster JAVA.
 
Kiukweli ni lugha ambayo niliitamani na pia naipenda sana!! nna hamu nifike mbali hasa katika software development za simu au komputa!! je mdau uliye soma java, ulisomaje ukai master? je nisome vipi ili niwe mzuri kwenye java?

Nijifunze nini cha ziada niweze kuwa compitent software(java) developer?

Mkuu. Nimeipenda hii juhudi yako. Naomba na nijiunge kwny juhudi. Nitakupm ili nami nipate madesa toka kwako
 
Hii kitu inaniinteresst sana sema hata sijui naanzia wapi??
Wala usihofu ndugu mdogo mdogo ndio mwendo!! Cha kwanza jiulize je unapenda kutengeneza websites au softwares kama za android au pc!! Then utakua umepata jibu wapi uanzie!!

Karibu tupambane mkuu!!
 
Back
Top Bottom