YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Vyote swali lingine?Wewe ni -me au -ke ?
Vyote swali lingine?Wewe ni -me au -ke ?
Mhhh nimeanzia kulia kwenda kushoto bado nimechemshaKama selection has been don't basing on merit principles then ,kudos kwake mrembo mteuliwa.
Soma post #11Hivi utaratibu ukoje.....napenda kkujua inakuwajeee
Hii sio haki kabisa...mtu kaja juzi kwenye chama anaula. Sio fair kabisa.
C ndo hapo hata nami ntashangaa kama hawakua consulted aseee, je kama alienda ACT.Hiyo barua haielezi kama baada ya kupata taarifa ya spika kuwa nafasi wazi kama cdm ilikuwa consulted before the issuance of this selection notice!!
CV yake hebu tuleteeHii sio haki kabisa...mtu kaja juzi kwenye chama anaula. Sio fair kabisa.
Mmeo ana shida kweli juu yakoHii sio haki kabisa...mtu kaja juzi kwenye chama anaula. Sio fair kabisa.
Chama gani?Act au chauma?TULIKIPIGANIA CHAMA HAKUNA ILA WAKUNJA JUZI WANAPEWA SHAVU.NCHII HII NA VYAMA VYETU NI SIDA
No, consultation muhimu. Je kama ameshahama chama watamteuaje kama mbunge wa viti maalum cdm wakati pengine yeye sio cdm tena by then!!Viti maalumu vyama vyote hupeleka majina kwa rank za kura walizopata kwenye chaguzi ndani ya vyama hivyo akiondoka mbunge wa viti maalumu tume inaenda tu kwenye list waliyopewa na chama husika wanampa aliyefuatia kwa kura.
Usinionee wivu....Mmeo ana shida kweli juu yako
Ego egoChei cheiii
Ni wajibu wa chama kuijulisha tume sio kazi ya tume kuota silence means OK mbona inawauma sana huyu Mama kupata ubunge?No, consultation muhimu. Je kama ameshahama chama watamteuaje kama mbunge wa viti maalum cdm wakati pengine yeye sio cdm tena by then!!