Hivi ni kweli kwamba Jeshi la Magereza wameacha kushughulikia wahatuhumiwa na waharifu badala yake wanashughulikia waislamu?
Sent from my GT-I8262 using JamiiForums mobile app
Zaidi ya kiongozi? Kweli ukiwa unafanya Siasa uwe na ngozi ngumu aisee. Ndio maana siasa inahusianishwa na uongo uongo na maneno mengi, ukianza kuongea saaana unaambiwa usilete siasa hapa. Ukiwa kigeugeu unaambiwa usilete siasa hapa. Na Ndio maana naelewa sasa ni kwanini Mtatiro aliweza kuandika...
"Ndugu mteja,muda wa kufurahia channeli kwa bure umeisha,lipia 6000 utafurahia chaneli 20 na za ndani kwenye kifurushi cha Nyota,lipia 12000 utafurahia mechi za Real Madrid, Barcelona na mechi nyingine za ICC kwenye kifurushi cha Mambo, piga 0764700800."
"Ndugu mteja,muda wa kufurahia channeli kwa bure umeisha,lipia 6000 utafurahia chaneli 20 na za ndani kwenye kifurushi cha Nyota,lipia 12000 utafurahia mechi za Real Madrid, Barcelona na mechi nyingine za ICC kwenye kifurushi cha Mambo, piga 0764700800".
Ndugu mteja,muda wa kufurahia channeli kwa bure umeisha,lipia 6000 utafurahia chaneli 20 na za ndani kwenye kifurushi cha Nyota,lipia 12000 utafurahia mechi za Real Madrid, Barcelona na mechi nyingine za ICC kwenye kifurushi cha Mambo, piga 0764700800
Sababu ziko wazi, kubana wasio na nafasi na uwezo wa kusema (kwenye media) utadhani husemwi. Kuwarudisha kwenye mstari wa uadilifu watu waliopotoka na huku wana uwezo wa kwenye media, watafurukuta kukupinga tu. KEEP IT UP MAGUFULI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.