Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,257
- 8,775
- Thread starter
- #301
Ukada wa ccm, cdm ama cuf unahusunini kwenye masuala yaufafanuzi wa jambo?
Bado watu tunamhemuko kutokana na maneno yako uliyotuvuruga humu kutokana na post zako zaudini bado tu unaendeleza ngebe zako si ndiyo?
Kada kajifundishe kuandika vizuri , Lumumba itakuuwa