cosM
Senior Member
- Sep 6, 2013
- 194
- 124
Kwa wale wenye vingamuzi vya zamani unapata local channels hata kama hujalipia mwisho wa mwezi. Ila kwa ving'amuzi vipya vya antenna kila mwezi lazima ulipie. Bei nimenunua sh.40,000/= baada ya ofa kuisha channels zote zimekata na nikasema sinunui kifurushi cha mwezi hata siku moja kwa ajili ya local channels yaani hadi taarifa ya habari nilipie??.Mkuu mimi binafsi baada ya copa america na nba season kuisha sijanunua kifurushi chochote na bado channels local zote nazipata. Si kweli kama watu wanavyosema kuwa kuona local tv lazima ulipie startimes.