Fanyeni biashara ya barafu za vifuko,mtaji wa laki na nusu unaanza,uza hiyo smartphone yako.Ukifata huu ushauri itakusaidia kupunguza povu ktk Mambo ambayo yapo wazi kabisa,kama ujaitwa wewe wenzio wameita,kung'uta vumbi na usimame tena.
Tatizo ni ww,unatumia mda mwingi kuangalia hiyo tv maana ni mpya.Pia Unaonekana unaishi ktk nyumba za kupanga so ushindani wa matumizi ya umeme ni wa Kasi zaidi
Hizo story Kuna jamaa mmoja hapa Tanga mjini anaitwa Big Memory ana story kama hizo.Nilichogundua kwa Big Memory hana akili vizur,so na ww naomba umchunguze huyo wa kkoo kijiwe story kama ni mzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.