Mhdiwani
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 650
- 707
Kisosora ,,,chumvini ,,,mabokweni,,,,mpk maramba,,, tupo mkuuWale wa kisosora mpo?
Kisosora ,,,chumvini ,,,mabokweni,,,,mpk maramba,,, tupo mkuuWale wa kisosora mpo?
Wataka kusema Tanga ni bara?
Hahaha subir wadigo wajeIam in
From 10 to 21years
Nimekuwa tanga
So Mimi ni ndugu enu bana
Nimewafaidi sana wadigo wanashobo sana kwa wageni
Sasa tukupe medani ya kuwafaidi wadigo?Iam in
From 10 to 21years
Nimekuwa tanga
So Mimi ni ndugu enu bana
Nimewafaidi sana wadigo wanashobo sana kwa wageni
Karibu kagera. Ingawa kwa sasa sipo Tanga. Hivi bifu lenu na Mwamboni limeisha?Wale wa kisosora mpo?
Mimi maramba sifiki nashukia kisosora sokoni naingia uchochoro naingia nyumbaniKisosora ,,,chumvini ,,,mabokweni,,,,mpk maramba,,, tupo mkuu
kabisa mkuuhome is the best
karibu hapa ndio uwanjani kwetuAm here!
Haha mimi mgeni mkuu sema nimeishi hapo siku kidogo zimepita.Karibu kagera. Ingawa kwa sasa sipo Tanga. Hivi bifu lenu na Mwamboni limeisha?
tuwe pamoja mkuu apa ndio uwanja wa wazawa wa TangaTanga nyumbani kiasili,nashukuru na ajira pia nimebahatika pande hizi.
oyoooooTanga oyyoòoooooo
sawa mkuuNdo nimekuja kujua baada ya kufika Tanga, kwamba kumbe Tanga si Bara!