Msaada: Nimjibu nini huyu msafiri mwenzangu?

Msaada: Nimjibu nini huyu msafiri mwenzangu?

me nafikir muonyesh hiz post hapa jf tunazoandika ili aone tunavokushauri
mamb mengin hya ko hasira za huyo dad umeon utolee huk jf duuuh
 
Kama ni mzuri na ana msambwanda, usiwe mkali sana... Pima upepo kwanza.. Anza mazungumzo ya kufahamiana kwanza, ukiona miyeyusho mchenjie.... Mtupie mizigo yake na mwanae
 
Mwambie hutaki usumbufu na amuweke mtoto vizuri mnambana...halafu pia aangalie utaratibu mwingine wa kuweka mizigo yake vizuri isikubugudhi
 
Kama ni mzuri na ana msambwanda, usiwe mkali sana... Pima upepo kwanza.. Anza mazungumzo ya kufahamiana kwanza, ukiona miyeyusho mchenjie.... Mtupie mizigo yake na mwanae
asante kwa ushaur huu mujarab ntauzngatia
 
Mwambie aiweke chini ya siti kama inaingia kama haiingii msaidie tu hakuna namna hapo ukikataa utatengeneza chuki kwenye hiyo safari
 
Msaidie tu mkuu juna mmja mie nilisafiri alikuwa na watt wanne yaani hdi huruma
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole sana aisee,nakumbuka mie nilipanda gari naelekea mbeya na mama alikua na watoto watatu lkn alikata siti yake tu,weee,tulikoma mbona na mdogo wangu,tulibanwa hadi basi halaf yy hakua hata na wasi wasi kwamba anatukera bas hadi kufila mbeya miguu ilikua imevimba sana maana ilikosa nafasi ya kujiachia.,,watu wa hvo wanakeara sana tu yaan
 
Kama ni mzuri na ana msambwanda, usiwe mkali sana... Pima upepo kwanza.. Anza mazungumzo ya kufahamiana kwanza, ukiona miyeyusho mchenjie.... Mtupie mizigo yake na mwanae
Wewe jombaa inaonekana n mtata sana.
 
Wakuu nipo safarini nimekaa siti na mdada ana mtoto mkubwa na mabegi. Gari kwangu eti mizigo imemzidi. Bado sijamjibu natafakari kwanza. Naomba busara zenu nimjibu nini?
Tuwekee picha yake ili tukusaidie
 
Naogopa kutumia nguvu ktk kukushauri maana isije ikawa hilo gari ndio aina wa abiria wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom