Hakuna urasimu wowote, mimi pia nimeenda kuchukua ya kwangu ijumaa, ukiwa na kitambulisho chako tuu wanakutafutia barua yako una sign kwamba umepokea then unaifungua na kuisoma kuona kama hawajakosea jina lako, na kama wamekosea unawaambia wanairekebisha hapo hapo. Kila la kheri!
Sasa Chamchella ukikuta huyo mwanamke atakae kutafuta kwa namna hii pale tu unapomwona ukajihis humpendi itakuaje huoni utamsononesha huyo dada, au unataka kuniambia yeyote atakaekua tayari wewe poa tuu? naona bora tafuta huko uliko kama mtaani kwako au kwingineko kote utakua na nafasi nzuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.