Kwa wastani uwekezaji katika mifuko ya UTT unazalisha faida kidogo kidogo. Mfano, Ukiwekeza milioni 10 za kitanzania unaweza kuambulia wastani wa shilingi 2000 hivi kwa siku, sawa na shilingi 60,000 kwa mwezi. Si haba kwa pesa ambayo hujatolea jasho kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.