Magari kutoka Singapore

Matty96

JF-Expert Member
Jul 1, 2013
215
194
Msaada kwa anayefahamu utaratibu mzuri wa kuingiza magari kutoka Singapore. Maana nilifahamishwa kwamba yenyewe yakiingia nchini yanakuwa hayana certificate of inspection na hivyo inabidi kupeleka NIT likakaguliwe.

Kwa anayejua costs za ukaguzi NIT na taratibu zingine na kama ni lazima kwa gari zote kutoka Singapore au kwa baadhi tu ya kampuni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu Tz sina habari za kina ila kwa Singapore nina kushauri tilia mkazo wa picha za gari uhakikishe haija chakaa sana kimuonekano. Kibongo tunamsembo "wanatimbia sana" gari zao.
 
kuhusu Tz sina habari za kina ila kwa Singapore nina kushauri tilia mkazo wa picha za gari uhakikishe haija chakaa sana kimuonekano. Kibongo tunamsembo "wanatimbia sana" gari zao.
Namshauri aagize gari Japan.
Screenshot_20200204-120220.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasababu Automax wamesema?

Sent using Jamii Forums mobile app

Si kwa sabau hao insta page wamesema, la hasha. Mimi pia nimeona sasa hivi chapisho lao sikua najua waliandika pia.

Nina swahiba yangu ameingiza si zaidi ya miezi 6 kutoka Singapore BMW E46 nae tumekutana na suala hilo, ndani imechakaa ila engine na vipuri vingine ni vipya kiasi tuliogopa ni kama mtu alifungua na kufunga vingine au ilikua kwenye mafuruko wakasafisha na kuuza.
 
Kwasababu Automax wamesema?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiukweli mimi nishahidi wa magari ya singapore ni mabovu, kwa macho yangu harrier mbili zimekuja bongo zote mbovu. Moja hadi leo gearbox haijatengemaa, imekuja gari inaonekana kupakwa rangi mtandaoni inang'aa kumbe hakuna kitu kabadilisha mashokapu, stabiliza link etc. Ingine imekuja injini sijui ilifunguliwa imepasuka chini huko. Gari za singapore si gari ila kama mmekalia ubishi nununueni
 
Si kwa sabau hao insta page wamesema, la hasha. Mimi pia nimeona sasa hivi chapisho lao sikua najua waliandika pia.

Nina swahiba yangu ameingiza si zaidi ya miezi 6 kutoka Singapore BMW E46 nae tumekutana na suala hilo, ndani imechakaa ila engine na vipuri vingine ni vipya kiasi tuliogopa ni kama mtu alifungua na kufunga vingine au ilikua kwenye mafuruko wakasafisha na kuuza.

Wanafanya sana hayo hata rangi wanapaka. Ila gari zao zinachakaa sana tena sana hazifai.
 
Kiukweli mimi nishahidi wa magari ya singapore ni mabovu, kwa macho yangu harrier mbili zimekuja bongo zote mbovu. Moja hadi leo gearbox haijatengemaa, imekuja gari inaonekana kupakwa rangi mtandaoni inang'aa kumbe hakuna kitu kabadilisha mashokapu, stabiliza link etc. Ingine imekuja injini sijui ilifunguliwa imepasuka chini huko. Gari za singapore si gari ila kama mmekalia ubishi nununueni
Zimeingiaje bandarini bila inspection?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, labda nikuulize kitu. Ukisikia ukaguzi wa magari bandarini unapata picha gani kwani kwako? TPA wanawatalaam wa ufundi makenika wanatifua gari kuhakiki au wanaangalia karatasi/ stika ya ukaguzi kutoka inchi husika?

Muulize tu simple question, wiki ya nenda kwa usalama bongo wanakaguaga magari au tunauziwaga stika tu buku 5?
 
Nina experience ya gari za Singapore
1.Kweli inspection hawafanyi,sina uhakika kama ni zote..yangu ilinigharimu kulipia hapa bongo
2.Kweli nilikuta inashida ya ball joint na shock ups za mbele..zilikuwa hazifai,otherwise body ilikuwa poa sana,ndani safi,engine na gear box poa kbs...mpk leo naitumia mwaka wa 7 sasa
3.Sishauri sana kuagiza tokea huko,hawana uaminifu wakutosha...
 
Gharama ya kufanya inspection hapa bongo ni kiasi gani kwa sedan car?
Nina experience ya gari za Singapore
1.Kweli inspection hawafanyi,sina uhakika kama ni zote..yangu ilinigharimu kulipia hapa bongo
2.Kweli nilikuta inashida ya ball joint na shock ups za mbele..zilikuwa hazifai,otherwise body ilikuwa poa sana,ndani safi,engine na gear box poa kbs...mpk leo naitumia mwaka wa 7 sasa
3.Sishauri sana kuagiza tokea huko,hawana uaminifu wakutosha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa anayejua costs za ukaguzi NIT na taratibu zingine na kama ni lazima kwa gari zote kutoka Singapore au kwa baadhi tu ya kampuni?
Ni lazima gari yoyote itokayo singapore au uk ikaguliwe NIT
Jamaa ni wanoko hatari,hata indicator ikigoma kuwaka unarudishwa
 
Nina experience ya gari za Singapore
1.Kweli inspection hawafanyi,sina uhakika kama ni zote..yangu ilinigharimu kulipia hapa bongo
2.Kweli nilikuta inashida ya ball joint na shock ups za mbele..zilikuwa hazifai,otherwise body ilikuwa poa sana,ndani safi,engine na gear box poa kbs...mpk leo naitumia mwaka wa 7 sasa
3.Sishauri sana kuagiza tokea huko,hawana uaminifu wakutosha...
Uliagiza Singapore kupitia Be foward au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom