wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi ilo linalofanya safari zake kati ya Mwanza kwenda Tanga limepata ajali maeneo ya Babati
Chanzo cha ajali ni kulipita lori bila tahadhari na kupelekea kugongana na lori jingine uso kwa uso
Hali ya abiria
Ni abiria watatu Ndio wapo kweny hali mbaya ila wengine wamepata majeraha madogo madogo
Chanzo cha ajali ni kulipita lori bila tahadhari na kupelekea kugongana na lori jingine uso kwa uso
Hali ya abiria
Ni abiria watatu Ndio wapo kweny hali mbaya ila wengine wamepata majeraha madogo madogo