Recent content by mzee wa inshu

  1. M

    Kuchelewa kwa mishahara ya wafanyakazi wa umma mwezi Februari

    Mhhhh! hayo ndo mambo ya JK mzee wa polojo. Ila yeye hasubiri mwisho wa mwezi kwa hiyo haya hayamhusu!
  2. M

    Shukrani BBC kwa mjadala makini juu ya Gongo la Mboto.

    Ni pale JK na makamanda wake wa jeshi walipo umbuliwa hadharani mchana peupe. Msemaji wa jeshi amewaonesha watanzania upeo duni wa kufahamu mambo walio nao makamanda wa jeshi. Hii itakuwa fundisho kwao, hawasomi alama za nyakati, hivi unathubutu vipi kiongozi mwenye dhamana ya kulinda maisha...
  3. M

    Hoja ya Brigedia generali leonard mndeme ina mantiki

    Ah! sisi hao tumeisha choka nao. Hakuna cha wataalamu waJWTZ wala Wachina, most of our army generals are mbumbumbus!. Hata wao hawakujua kama yanaweza kulipuka endapo yanaifadhiwa hovyo.!
  4. M

    Ooh! Poor gaddafi

    Libyan leader Muammar Gaddafi will fight a popular revolt to "the last man standing," one of his sons said on Monday as people in the capital joined protests for the first time after days of violent unrest in the eastern city of Benghazi. Anti-government protesters rallied in Tripoli's...
  5. M

    JWTZ na taarifa ya Mabomu Gongo la Mboto

    Huyo jamaa hajui anaongea nini inaelekea na yeye yupo jeshini kisiasa zaidi, ni mbumbumbu asiye jua mambo yanayo endelea duniani. Mfahamisheni kuwa wapo majenerali kadhaa wa majeshi ya marekani na Uingereza mbao wamejiuzuru miaka ya hivi karibuni (vita ya Afghanstan na Iraq) katika hali ya...
  6. M

    Jk tumia mamlaka yako sasa!

    Ndugu JK, nadhani sasa ni wakati muafaka kwako kutumia madaraka uliyo kabidhiwa na wananchi kama mkuu wa nchi, kiongozi wa serikali na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote. Tunatarajia,kwa hili la gongolamboto waziri wa ulinzi na mkuu wako wa majeshi hutaruhusu kwa mara nyingine waendelee...
  7. M

    Tafakari ya leo

    Ahsante sana rafiki, but I think sio vizuri ku-generalize kila kitu bila ya kuwa na ushahidi wa kisayansi. Nimeshindwa kukuelewa unaposema kuwa wote wanafanana kwa kigezo eti cha kuchukukua magari ya mkopo wa bunge. Lazima uelewe kuwa magari hayo hayatolewi kama hisani au rushwa kwa hawa...
  8. M

    Hotuba ya dhihaka!

    ''stand with any body who stands wright, stand with him while he is wright but part him when he goes wrong'
  9. M

    Hotuba ya dhihaka!

    '' wananchi wakidai haki yao,risasi, mabomu ya machozi vinatumika dhidi yao na hata kuwajeruhi na kuwauwa'' ila ''wakubwa wakivurunda mambo na kusababisha hasara na vifo kwa wananchi wanapongezana kwa kugonga bilauri za mvinyo na bia''
  10. M

    Hotuba ya dhihaka!

    Kwa mara nyingine tena nitoe pole kwa watanzania wenzangu waliopatwa na janga la mlipuko wa mabomu hapo juzi. Namuopmba mwenynezi Mungu awape faraja kwa rehema zake! Nirejeree kauli ya serikali iliyotolewa na mh rais usiku wa kuamkia leo juu ya msiba wa kitaifa uliosababishwa namlipuko wa...
  11. M

    Mwitikio wa Wananchi juu ya Mlipuko wa Mabomu Gongo la Mboto

    inapotokea maandamano ya kuipinga serikali haichukui sekunde askali wa kutuliza ghasia kufika eneo la tukio na kupiga mabomu. Ila yanapotokea maafa ya wananchi kupoteza maisha kama ya kule gongo la mboto mbona hao askali hawaonekani kuja kuokota hayo mabomu mpaka muda huu...
  12. M

    Nchi hii imenichosha kabisa

    Hutakiwi kulalamika kana kwamba hujui hali halsi inavyoendelea hapa nchini. Nivizuri tukaacha tabia ya ubinafsi ambayo ndiyo imetufikisha katika matatizo tuliyonayo leo hii. Kimsingi, suala la wewe kukosa ndege ya kusafiria kwetu halina nafasi sana kwani hayo ni mambo yako binafsi. Hivi sasa...
  13. M

    Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

    Whatever the case, Idadi ya waliokufa sio issue hata kama angekufa mtu mmoja bado sio halali kwa mtu kuuawa kwa uzembe wa watu fulani. Yafaa wahusika wawajibike! Labda mtuambie ni maiti wangapi wanahitajika ili kiongozi ajiuzulu kwa uzembe? ''Tabi ya kulindana kwa...
  14. M

    Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

    ''We should not blame our enemies for oppressing us but we've to blame ourselves for being coward'' Oh! poor Tanzanians until when?
  15. M

    Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

    Ni hatari kuwa na serikali ya watu mbumbu, wapuuzi lakini wenye kiburi na dharau kwa watu waliowaeweka madakani. Je, watanzania kwanini bado tunakuwa na vichwa ngumu ya kutotaka kujifunza? ''WE SHALL NOT BLAME OUR ENEMIES FOR OPPRESSING US BUT LET'S BLAME...
Back
Top Bottom