Sharp lady
Senior Member
- Feb 23, 2011
- 129
- 13
Nikiwa kama mdau mkubwa wa idhaa ya kiswahili ya BBC leo nimepata kufwatilia vizuri mjadala juu ya mabomu ya G. Mboto, mjadala ulikuwajumuisha wadau mbalimbali wakiwamo wakazi waliodhurika, waziri wa makazi, mbg Selelii, mwakilishi kutoka Kenya na mmoja wa viongozi wa jeshi. Yameongelewa mengi ila asilimia kubwa ya makosa yako upande wa jeshi. Ushauri wangu haya mambo msiyapeleke kisiasa hatua zinazopaswa kufwatwa zichukuliwe.