Ally Msangi
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 608
- 120
Mbona mishahara imeshatoka tangu juzi,
kila lawama mwamtupia Kikwete hata mkishindwa kuwapa mimba wake zenu mtamlaumu hebu badilikeni tumewachoka na haka kawimbo:rain:
kila lawama mwamtupia Kikwete hata mkishindwa kuwapa mimba wake zenu mtamlaumu hebu badilikeni tumewachoka na haka kawimbo:rain:
AMA KWELI WATZ TUNATESEKA, MSHAHARA KISHERIA UNATAKIWA UTOKE LINI? MAANA HAINGII AKILINI MWISHO WA MWEZI HAUNA KITU. Je SERIKALI INALIONAJE HILI MPAKA TUANDAMANE AU TUITISHE VIKAO
TUOMBA TAMKO KUTOKA HAZINA NA SERIKALI ZA MITAA AU MNAZIFANYIA BIASHARA MISHAHARA YETU
na waalimu ndio huwa mnatumika sana kwenye mambo mengi ya CCM sababu wanajua tu kuwa ninyi ni waoga so subirini kwanza serikali ikakope hiyo mishahara maana uzalishaji umeshuka!
mkiandamana mtaitwa wadini au wafuasi wa chademaAMA KWELI WATZ TUNATESEKA, MSHAHARA KISHERIA UNATAKIWA UTOKE LINI? MAANA HAINGII AKILINI MWISHO WA MWEZI HAUNA KITU. Je SERIKALI INALIONAJE HILI MPAKA TUANDAMANE AU TUITISHE VIKAO
TUOMBA TAMKO KUTOKA HAZINA NA SERIKALI ZA MITAA AU MNAZIFANYIA BIASHARA MISHAHARA YETU
mkiandamana mtaitwa wadini au wafuasi wa chadema
AMA KWELI WATZ TUNATESEKA, MSHAHARA KISHERIA UNATAKIWA UTOKE LINI? MAANA HAINGII AKILINI MWISHO WA MWEZI HAUNA KITU. Je SERIKALI INALIONAJE HILI MPAKA TUANDAMANE AU TUITISHE VIKAO
TUOMBA TAMKO KUTOKA HAZINA NA SERIKALI ZA MITAA AU MNAZIFANYIA BIASHARA MISHAHARA YETU