Nchi hii imenichosha kabisa

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
Nipo uwanja wa ndege wa "kimataifa" wa JK Nyerere nikisubiri usafiri wa kwenda Kilimanjaro kwa ndege ya Precision Air,hali hapa uwanjani ni mbaya sana kuna mamia ya abiria wanasubiri kusafiri toka jana usiku,kinachonisikitisha na kilichonisukuma kuandika thread hii ni kuwa hakuna taarifa yeyote toka kwenye uongozi wa uwanja juu ya kinachoendelea,tumefuatilia na jibu tulilopewa ni kuwa eti **** timu toka JWTZ inasubiriwa ije ikague uwanja,nilitegemea hayo yangefanyika mapema sana ili kuondoa tafrani hii lakini hadi sasa haijulikani timu hiyo itafika saa ngapi.Watanzania tupunguze kufanya kazi kwa mazoea,tunatia aibu sana.
 
Nipo uwanja wa ndege wa "kimataifa" wa JK Nyerere nikisubiri usafiri wa kwenda Kilimanjaro kwa ndege ya Precision Air,hali hapa uwanjani ni mbaya sana kuna mamia ya abiria wanasubiri kusafiri toka jana usiku,kinachonisikitisha na kilichonisukuma kuandika thread hii ni kuwa hakuna taarifa yeyote toka kwenye uongozi wa uwanja juu ya kinachoendelea,tumefuatilia na jibu tulilopewa ni kuwa eti **** timu toka JWTZ inasubiriwa ije ikague uwanja,nilitegemea hayo yangefanyika mapema sana ili kuondoa tafrani hii lakini hadi sasa haijulikani timu hiyo itafika saa ngapi.Watanzania tupunguze kufanya kazi kwa mazoea,tunatia aibu sana.

Kama safari yako ni ya muhimu kuliko majeruhi unaweza kukodi helikopta
 
Nipo uwanja wa ndege wa "kimataifa" wa JK Nyerere nikisubiri usafiri wa kwenda Kilimanjaro kwa ndege ya Precision Air,hali hapa uwanjani ni mbaya sana kuna mamia ya abiria wanasubiri kusafiri toka jana usiku,kinachonisikitisha na kilichonisukuma kuandika thread hii ni kuwa hakuna taarifa yeyote toka kwenye uongozi wa uwanja juu ya kinachoendelea,tumefuatilia na jibu tulilopewa ni kuwa eti **** timu toka JWTZ inasubiriwa ije ikague uwanja,nilitegemea hayo yangefanyika mapema sana ili kuondoa tafrani hii lakini hadi sasa haijulikani timu hiyo itafika saa ngapi.Watanzania tupunguze kufanya kazi kwa mazoea,tunatia aibu sana.

Pole sana mkuu kwa matatizo yaliyokukuta,hii ndiyo Tanzania yetu,tuwe wavumilivu!!
 
Kama safari yako ni ya muhimu kuliko majeruhi unaweza kukodi helikopta

Madams will remain madams ....... Kutotatua tatuzi lililokuwepo hilo la mabomu ni tatizo japo ilibidi lisitokee au lidhibitiwe...... Lakini kuzidi kuleta matatizo kwa kigezo au kwa sababu ya tatizo lililopo napo ni tatizo mno? Huyo mtu hujui anaenda fanya nn Moshi...... akifukuzwa kazi, kama kuna mgonjwa etc? Kwahiyo uzembe wa mtu/kikundi/serikali ki-ujumla kutodhibiti mabomu na majanga mengine isiwe sababu ya Madam kuona lililo at hand ni muhimu zaidi..... Umuhimu has to be equally weighed..... Na kwa taarifa yako serikali makini ni ile kwenye tatizo inatatua tatizo husika faster while ensuring the other related probs are contained smoothly (bila kuanzisha tatizo lingine).....
 
Pole kwa kukatizwa safari
hayo nimatokeo ya uongozi mbaya wa kikwete
huku kilimanjaro ndge zimepaki hazina pakwennda iliyokuja jana uck kutokea ams jro dar imeshindwa na abiria wote wako hotelini
huu upuuzi wa serikali yetu utaisha lini?
 
Pole kwa kukatizwa safari
hayo nimatokeo ya uongozi mbaya wa kikwete
huku kilimanjaro ndge zimepaki hazina pakwennda iliyokuja jana uck kutokea ams jro dar imeshindwa na abiria wote wako hotelini
huu upuuzi wa serikali yetu utaisha lini?

Tatizo siyo serkali bali watu waliopewa dhamana ya kazi. Hivi JK aende jeshini na kiwaambia askari waende wakacomb runways za airport Dsm na maeneo jirani ili kuondoa vyuma au mabomu ambayo hayakulipuka ili kuruhusu ndege kutua na kupaa hapo?
Sasa tukio moja linatushinda kurudisha haraka Hali ya kawaida itakuwaje Kama inazuka vita?
 
Nipo uwanja wa ndege wa "kimataifa" wa JK Nyerere nikisubiri usafiri wa kwenda Kilimanjaro kwa ndege ya Precision Air,hali hapa uwanjani ni mbaya sana kuna mamia ya abiria wanasubiri kusafiri toka jana usiku,kinachonisikitisha na kilichonisukuma kuandika thread hii ni kuwa hakuna taarifa yeyote toka kwenye uongozi wa uwanja juu ya kinachoendelea,tumefuatilia na jibu tulilopewa ni kuwa eti **** timu toka JWTZ inasubiriwa ije ikague uwanja,nilitegemea hayo yangefanyika mapema sana ili kuondoa tafrani hii lakini hadi sasa haijulikani timu hiyo itafika saa ngapi.Watanzania tupunguze kufanya kazi kwa mazoea,tunatia aibu sana.

Ndugu yangu mbongo pole sana mm mwenyewe nimekwama mwanza Airport toka jana ucku
 
Kama safari yako ni ya muhimu kuliko majeruhi unaweza kukodi helikopta

Madam T hujui unachokisema,kama ungekuwa hapa airport ndio ungeona adha iliyopo,hatukatai dharura kama hizi kutokea lakini kilichonikwaza ni uongozi wa uwanja kukaa kimya wakati watu wamelala uwanjani toka jana usiku,sidhani kama ilikuwa ngumu sana kuwapa taarifa wasafiri ya ni nini kinachoendelea na watarajie hali kutengemaa baada ya muda gani.,information is power remember.
 
Kama safari yako ni ya muhimu kuliko majeruhi unaweza kukodi helikopta

sikutegemea madam uwe na comment za kihivi. Nadhani concern ya mwenzio sio kwa ajili yake tu. Ina maana wanajeshi wote wanatibu au kuhudumia majeruhi? Kubadilika ni muhimu tusiwaongezee ukubwa wa mabichwa wazembe watatumaliza hawa. pole madam kama nitakuwa nimekukwaza.
 
Nipo uwanja wa ndege wa "kimataifa" wa JK Nyerere nikisubiri usafiri wa kwenda Kilimanjaro kwa ndege ya Precision Air,hali hapa uwanjani ni mbaya sana kuna mamia ya abiria wanasubiri kusafiri toka jana usiku,kinachonisikitisha na kilichonisukuma kuandika thread hii ni kuwa hakuna taarifa yeyote toka kwenye uongozi wa uwanja juu ya kinachoendelea,tumefuatilia na jibu tulilopewa ni kuwa eti **** timu toka JWTZ inasubiriwa ije ikague uwanja,nilitegemea hayo yangefanyika mapema sana ili kuondoa tafrani hii lakini hadi sasa haijulikani timu hiyo itafika saa ngapi.Watanzania tupunguze kufanya kazi kwa mazoea,tunatia aibu sana.

Uongozi wa juu wa nchi umeshindwa kabisa kufanya kazi ndiyo maana madudu yanaongezeka kila mahali. Ingekuwa hawa wanaojiita viongozi wanaweka mbele maslahi ya nchi Serikali yote ingejiuzulu ili iundwe Serikali mpya na kuitisha uchaguzi haraka sana, lakini hawa mafisadi wataendelea kubaki madarakani kwa miaka mitano mingine hata kama nchi inadorora kiasi gani katika mambo mbali mbali ikiwemo uchumi. Dr Slaa hakukosea kabisa aliposema kumpigia kura Kikwete ni sawa na kuitakia nchi yetu maafa makubwa.
 
Hutakiwi kulalamika kana kwamba hujui hali halsi inavyoendelea hapa nchini. Nivizuri tukaacha tabia ya ubinafsi ambayo ndiyo imetufikisha katika matatizo tuliyonayo leo hii.

Kimsingi, suala la wewe kukosa ndege ya kusafiria kwetu halina nafasi sana kwani hayo ni mambo yako binafsi. Hivi sasa tumejikita macho na nguvu zetu kwa ndugu zetu, watanzania wenzetu ambao wamejeruhiwa kupoteza mali na maisha yao pasipo na hatia.

Shida ya watanzania ni ubinafsi, na kujali maslahi binafsi kama ambavo wewe unachanganya masuala yako binafsi wewe na mkeo/mumeo na masuala ya kitaifa.

Kama unaona hayo hayana msingi sana zaidi ya safari yako basi tutatilia shaka uwezo wako katika kufikiri na kuamua nini uongee, wapi na lini na kwanini. AU WEWE SIO MTZ MWENZETU?

''RAFIKI WA KWELI AKUFAAYE WAKATI WA DHIKI''

 
bunge limesimamishwa, hayo tu yaliyobaki bado ni kitendawili unataka waje aport, namsaport madam t kodi helkopter brother
 
Mijadala mingine watu wanacomment tu bila kufikiria side effects ya tatizo lenyewe.
Sasa hivi viongozi wote wanakimbilia kuokoa majeruhi na kutafuta yale ambayo bado hayajalipuka
bila kujali kwamba kuna order walizozitoa ambazo zina madhara pia kwa upande mwingine wa system.
Lazima ukabiliane na tatizo accordingly mfano airport wana security sysems ambazo lazima zitaonyesha kama
kuna kitu chochote kiiliingia ndani ya uwanja.
Kataeni mkubali hatuna viongozi tuna wasimamizi.
 
Back
Top Bottom