Hilo haliwezekani mkuu,maana ilikuwa siri kubwa mno.ni kwamba staff mnafika kazini kama kawaida,halafu ghafla wanakuja ma officer wa BOT na FFU wenye silaha,mna handover kila kitu.so huwezi kutoka na amana za watu mkuu.
Na wakati mwingine inasababishwa na wingi wa mizunguko ya kutoa sadaka,mnazunguka hata mara 5.kwa nini msiweke mzunguko mmoja,halafu mkajua wenyewe jinsi ya kuzi bajeti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.