Recent content by mwirumuja

  1. M

    Happy birthday to Jr

    Happybirthday mkuu jr.
  2. M

    Hatimaye miss Tanzania ajinyakulia gari ya aina yake

    Mkuu umenichekesha hadi machozi.khaa!
  3. M

    Benki Kuu ya Tanzania (BOT) yaifutia leseni benki ya FBME

    Hilo haliwezekani mkuu,maana ilikuwa siri kubwa mno.ni kwamba staff mnafika kazini kama kawaida,halafu ghafla wanakuja ma officer wa BOT na FFU wenye silaha,mna handover kila kitu.so huwezi kutoka na amana za watu mkuu.
  4. M

    Mvua kubwa jijini Dar - Mei 8, 2017

    Niko city centre maeneo ya posta inanyesha pia wakuu.
  5. M

    Pumzika kwa amani mdogo wangu

    Pole sana mkuu,pumzika kwa amani mtoto wetu.
  6. M

    Viongozi wa dini zingatieni kujali mda katika ibada mnatukwaza waumini wenu.

    Na wakati mwingine inasababishwa na wingi wa mizunguko ya kutoa sadaka,mnazunguka hata mara 5.kwa nini msiweke mzunguko mmoja,halafu mkajua wenyewe jinsi ya kuzi bajeti?
  7. M

    TANZIA: Mwanachama mwenzetu, PakaJimmy amefiwa na mwanae ajali ya basi Arusha

    Inaumiza sana kwa kweli,pole mwana jf mwenzetu.
  8. M

    Kanali Muammar Gaddafi (1942 - 2011)

    Safi sana mkuu,inawezekana tabia ya kujiuzulu na kurudi tena madarakani,bwana yule wa CUF alijifunzia kwa Muammar.
  9. M

    Tanganyika Law Society kumburuza mahakamani RC Makonda

    Mkuu big up,unaona mbali sana.
  10. M

    Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

    Kuna watu wana roho ngumu haswa mkuu.
  11. M

    Msaada Samsung S7 Edge..!!!!

    Haijaondolewa mkuu,iliyoondolewa ni SAMSUNG NOTE 7.
  12. M

    Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

    Safi mkuu,nami pia nilitaka kujua hili
  13. M

    Tumetoka Mbali : Kumbi za Sinema enzi hizo siku za Weekend

    Kule Singida kulikuwa na FURAHA CINEMA,move ya ANDHA KANOON ya AMITHA BACHAN kwa mara ya kwanza niliiona pale.
Back
Top Bottom