Ni ukweli usiopingika kuwa mfumo uliopo sasa hivi unaoongoza nchi yetu ni mfumo uliosukwa na hayati Magufuli, hivyo siyo rahisi kwa rais aliyepo kuoneasha mabadiliko makubwa na ya kushangaza yanayoweza kuwa tofauti na mtangulizi wake.
Hivyo baada ya muda fulani ambapo atakua kafanya mabadiliko...
Enzi za uhai wa Magufuli viongozi wengi walijisahau kuwa Kuna muda Mungu anaweza kufanya maamuzi yake pasipokujali binadamu mnataka Nini au mnawaza nini, hali hi ndo inawapata baadhi ya viongozi wateule was awamu ya tano akiwemo Bashiru.
Anguko lake limekua kubwa mno na hata alipoangukia...
Je kuna ukweli kua mtu akienda Baraza la mitihani la Taifa kuomba cheti chake baada ya kupata result sleep anaweza kupewa? Kabla havijafika katika shule aliyofanyia mitihani? Naomba majibu kwa wanao fahamu hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani, sa walio maliza kidato cha nne mwaka Jana na vyeti vyao bado havijatoka wanafanyaje maana kuna mtu sifa zote anazo ila kapewa result sleep tu na cheti bdo hakijatoka, majibu kwa msaada zaid kwa wanaojua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni dreva na bosi wangu ni mwanamke. Tatizo linalonipata ni pale bosi wangu anaponitaka kimapenzi ni mwezi sasa unapita namkatalia.
Je naweza kosa kazi?
Na kama nikimkubalia kazi ndo itakua nzuri kwangu?
Ushauri wenu wana JF
Leo kwa mala ya kwanza tangu kulazwa kwa mheshimiwa Tundu lisu leo ameanza kula na kuongea chanzo cha habari ni kutoka kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka Nairobi
BREAKING NEWS
TUNDU LISU AKAMATWA
Mh. Tundu Lissu amekamatwa jioni hii akiwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa DAR akielekea Kigali kwenye mkutano wala marais wa vyama vya mawakili Afrika mashariki.
Ameandika haya:
Wajumbe wa halmashauri. Nipo uwanja wa ndege najiandaa kuelekea Kigali kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.