mwasamasole
Senior Member
- Oct 25, 2015
- 106
- 119
Enzi za uhai wa Magufuli viongozi wengi walijisahau kuwa Kuna muda Mungu anaweza kufanya maamuzi yake pasipokujali binadamu mnataka Nini au mnawaza nini, hali hi ndo inawapata baadhi ya viongozi wateule was awamu ya tano akiwemo Bashiru.
Anguko lake limekua kubwa mno na hata alipoangukia inawezekana ikawa ni maombi tu ya watu waliomuombea kwa Rais Mama Samia ili asije akafa kabisa kwa hasira, lkn vinginevyo angeweza kurudi kijijini kwao akafanye shughuli zake binafsi.
Ukweli ni kwamba kwa hali aliyonayo ndugu Bashiru kwa Sasa ni ngumu mno ktk maisha yake kuliko watu wanavyofikiri Binadamu tuwe na akiba ya maneno na vitendo pia
Anguko lake limekua kubwa mno na hata alipoangukia inawezekana ikawa ni maombi tu ya watu waliomuombea kwa Rais Mama Samia ili asije akafa kabisa kwa hasira, lkn vinginevyo angeweza kurudi kijijini kwao akafanye shughuli zake binafsi.
Ukweli ni kwamba kwa hali aliyonayo ndugu Bashiru kwa Sasa ni ngumu mno ktk maisha yake kuliko watu wanavyofikiri Binadamu tuwe na akiba ya maneno na vitendo pia